Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Mwenzangu hata mimi nimejifunza kwa Zuhura, siachani tena na mukaka wangu.

Zari lazima aje na drama mpya, huwa anajidai yuko cool kwa kudhani yataisha na Diamond hataoa atarudi kwake.

Ngoja tuone…
 
wajomba zangu wamesha nionya kujaribu jaribu.

maana pengine hapana comeback, zaidi ya kuomba extension of contract 😂😂
 
Waoane tu hakuna shida
 
Kwa uzuri gani? Hivi unazijua pisi wewe?
Ila kwa kuwa we ni female huwezi jua mwanamke yupi mbovu na yupi mzuri.
Simba kaiacha pisi kama Zari unategemea awe na upendo na huyo Zuchu?
Kwamba wewe unaujua uzuri wa Zari na Zuchu kuliko Diamond aliyeishi nao wote kwa miaka mingi?

Kuwa serious basi Mkuu.
 
wajomba zangu wamesha nionya kujaribu jaribu.

maana pengine hapana comeback, zaidi ya kuomba extension of contract 😂😂
Hayo mambo ya kuonja onja hata yakitukuta sisi Wazee ndiyo mwanzo wa kumkabidhi Binti wa elfu 2 kadi na password ya Benki akajichotee Pension yote

Kuja kutahamaki unajikuta pension imeenda 🙌
 
Siku muziki wa Zuchu umeisha na akawa hamuingizii tena Dai pesa na hii ndoa itapumulia mashine.

Ila wazanzibari wanajua kuvumilia ndoa, anaweza kuendelea kung'ang'ana hivo hivo.
Wazanzibar nakubali. Kuna shoga yangu aliolewa mke wa pili tukalia balaa, akaondoka kabisa akarudi kwao.

Mbona alikuja kurudiana naye wanaishi uke wenza hadi leo? Na watoto anaongeza!
Nilikoma!
 
Kwamba wewe unaujua uzuri wa Zari na Zuchu kuliko Diamond aliyeishi nao wote kwa miaka mingi?

Kuwa serious basi Mkuu.
Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.

Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
 
Kubwa la umbea kazini!! hahahha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…