Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Wajifunze kwa kuwa Zuchu ni bikira?Wadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajifunze kwa kuwa Zuchu ni bikira?Wadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Unajua nikueleze ukweli, Diamond amekulia katika mikono yetu. Namkumbuka nikimuuliza kuwa ana matatizo yepi alipokuwa anadai kula wasichana nao wanakanusha. Alinijibu kuwa kwanini wasiseme ukweli? JK amefanya kazi kubwa kwa Diamond na bila JK Diamond asingekuwa hapo alipo. 2010 katika kampeni za JK acha tu.Ila wewe njinjo mbea jamani! Nacheka sana posts zako.
Inawezekana sana kama mmekuwa kwenye uchumba na mwenzako kwa muda mrefu, kama mmeanza ku date ukiwa mid 20s, ukafika 30+ upo ane kwanini asikuoe...Halafu kuna wajinga juzi walikuwa wanasema wanawake wa 30+ hatuolewi, Kama Diamond anaoa wao ni akina nani?
Unajua sie wazee tunaofuata fuatafuata mienendo ya vijana tunajua mengi ujuenjinjo kiboko, huo umbea tunao wachache sana!
Duh, ila hakika dunia duara...ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.View attachment 3225842
Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’
Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.
Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.
Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.
Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.
Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?
Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.
Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.
Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.
Straight From The Horse’s Mouth,
Nifah.
Sijui kwanini, kama Diamond angekuwa kijana wangu, ningehakikisha anamuoa Tanasha.Tanasha naye ni walewale tu, aliachwa wala sio kwa mapenzi yake.
Unaweza hangaika na watoto wazuri wenye shape na maumbo mazuri Kwa muda mrefu na usiridhike ila anatokea mdada wa kawaida sana anakushika idara zote kitandani mpaka jikoni, ukiwa nae unakua tu na amani ya moyoHapa ndiyo unatimia ule usemi kwamba mwonja asali huchonga mzinga.
Kuna sehemu Wanaume huwa tunaingia na kujisemea pale naonja na kupita hivi
Kumbe ndiyo unanaswa mazima
Unakuta jamaa wanajiuliza huyu Mwamba ameona nini Kwa kile kibinti, kumbe mambo unayopewa Kwa bed, hadi unajilaumu kwanini hatukujuana mapema 🏃🏃🏃🏃
Wanaweza wakawa wazuri ila hawana anachokitaka!Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.
Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
Msanii kuoa ni kujishusha mazima.Aleleleeeee harusi tunayooo....
Nakala iwafikie team kataa ndoa wote.
Umenifurahisha! Usicheze na watoto wa 2000, ni balaa. Unaweza jikuta matonya barabaraniHayo mambo ya kuonja onja hata yakitukuta sisi Wazee ndiyo mwanzo wa kumkabidhi Binti wa elfu 2 kadi na password ya Benki akajichotee Pension yote
Kuja kutahamaki unajikuta pension imeenda 🙌
Ndoa ya kimkakati, Dai kashaona life span ya muziki wake inadecline.....na pesa ya muziki anaitaka....Pia Zuchu anamuingizia pesa nzuri.....Msanii kuoa ni kujishusha mazima.
Kwanza unawezaje ku date na mfanyakazi wako?
Lakini kwanini unasema ni kichekesho? Kwamba zuchu sio mwanamke? Kwamba hawezi kumshibisha Kiroho na kimwili? Kwamba hana roho nzuri, hawezi kumlelea familia yake?Waswahili walisema ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Diamond kuoa Zuchu ni kichekesho ujue
Kwa kweli Mkuu, Kwa uzoefu wangu na umri Mkubwa nilionao Wadada wengi wenye shape na warembo huwa hawana maajabu Kwa bedUnaweza hangaika na watoto wazuri wenye shape na maumbo mazuri Kwa muda mrefu na usiridhike ila anatokea mdada wa kawaida sana anakushika idara zote kitandani mpaka jikoni, ukiwa nae unakua tu na amani ya moyo
Mzinifu haoi isipokuwa Mzinifu mwenzie.View attachment 3225842
Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’
Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.
Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.
Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.
Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.
Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?
Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.
Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.
Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.
Straight From The Horse’s Mouth,
Nifah.
Astaghfirullah, We mtoto nani kakufundisha kuzungumza hayo mambo?Jamaa anapewa mbele na nyuma hana haja ya mchepuko.
Kuchomoa akili sana. Bora kuchomoa kuliko kulea kabla ya binti kuolewaKachomoa mimba ngapi ?
Hahaha........wengi huwa ni risk taker, kwahiyo wako radhi kufanya na kukupa kila kitu ili kukutekaUmenifurahisha! Usicheze na watoto wa 2000, ni balaa. Unaweza jikuta matonya barabarani
Kabla sijajibu nakuomba nijue wewe ni Ke au MeLakini kwanini unasema ni kichekesho? Kwamba zuchu sio mwanamke? Kwamba hawezi kumshibisha Kiroho na kimwili? Kwamba hana roho nzuri, hawezi kumlelea familia yake?