Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Ila wewe njinjo mbea jamani! Nacheka sana posts zako.
Unajua nikueleze ukweli, Diamond amekulia katika mikono yetu. Namkumbuka nikimuuliza kuwa ana matatizo yepi alipokuwa anadai kula wasichana nao wanakanusha. Alinijibu kuwa kwanini wasiseme ukweli? JK amefanya kazi kubwa kwa Diamond na bila JK Diamond asingekuwa hapo alipo. 2010 katika kampeni za JK acha tu.

Kwa hiyo inaniuma Diamond kuoa mtu kama Zuchu wakati warembo na mabinti wadogo wapo. Ila faida ya Zuchu ni kuwa hatotoa, maana msichana akishatotoa .... tuyaache.
 
Halafu kuna wajinga juzi walikuwa wanasema wanawake wa 30+ hatuolewi, Kama Diamond anaoa wao ni akina nani?
Inawezekana sana kama mmekuwa kwenye uchumba na mwenzako kwa muda mrefu, kama mmeanza ku date ukiwa mid 20s, ukafika 30+ upo ane kwanini asikuoe...

Ugumu unakuja kukutana na 30+ halafu mfanye mipango ya ndoa... huo umri unakuwa out of league.. kuna watoto wa early 20s wapo...
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Duh, ila hakika dunia duara...ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.
Au ukitaka kumchinja kuku unamrushia mttama aingie ndani ukamalize kazi.
 
Hapa ndiyo unatimia ule usemi kwamba mwonja asali huchonga mzinga.

Kuna sehemu Wanaume huwa tunaingia na kujisemea pale naonja na kupita hivi

Kumbe ndiyo unanaswa mazima

Unakuta jamaa wanajiuliza huyu Mwamba ameona nini Kwa kile kibinti, kumbe mambo unayopewa Kwa bed, hadi unajilaumu kwanini hatukujuana mapema 🏃🏃🏃🏃
Unaweza hangaika na watoto wazuri wenye shape na maumbo mazuri Kwa muda mrefu na usiridhike ila anatokea mdada wa kawaida sana anakushika idara zote kitandani mpaka jikoni, ukiwa nae unakua tu na amani ya moyo
 
Hayo mambo ya kuonja onja hata yakitukuta sisi Wazee ndiyo mwanzo wa kumkabidhi Binti wa elfu 2 kadi na password ya Benki akajichotee Pension yote

Kuja kutahamaki unajikuta pension imeenda 🙌
Umenifurahisha! Usicheze na watoto wa 2000, ni balaa. Unaweza jikuta matonya barabarani
 
Waswahili walisema ndege mjanja hunaswa na tundu bovu. Diamond kuoa Zuchu ni kichekesho ujue
Lakini kwanini unasema ni kichekesho? Kwamba zuchu sio mwanamke? Kwamba hawezi kumshibisha Kiroho na kimwili? Kwamba hana roho nzuri, hawezi kumlelea familia yake?
 
Unaweza hangaika na watoto wazuri wenye shape na maumbo mazuri Kwa muda mrefu na usiridhike ila anatokea mdada wa kawaida sana anakushika idara zote kitandani mpaka jikoni, ukiwa nae unakua tu na amani ya moyo
Kwa kweli Mkuu, Kwa uzoefu wangu na umri Mkubwa nilionao Wadada wengi wenye shape na warembo huwa hawana maajabu Kwa bed
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Mzinifu haoi isipokuwa Mzinifu mwenzie.
Na Mzinifu Mwanamke haolewi isipokuwa na Mzinifu mwenzie
 
Back
Top Bottom