Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.

Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
........au ndo ile wanasema kiki, mmojawapo anataka kuachia EP, enewei leti asi weiti fo ze bigi iventi...,....
 
Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.

Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
Attention seekers hakuna kitu km hicho hicho kitanzi hatokivaa
 
Can somebody check on Diamond? Is he alright? Team kataa ndoa tuna wasiwasi inawezekana mwenzetu kashikiwa bunduki
 
Kwamba wewe unaujua uzuri wa Zari na Zuchu kuliko Diamond aliyeishi nao wote kwa miaka mingi?

Kuwa serious basi Mkuu.
Wewe sio Mwanaume wanaume tukilala pamoja hakushikani matako na kukumbatiana tofauti na Wanawake wanaweza kulala pamoja mkashikana matako mkakumbatia hata kubusiana hio kwa Wanaume ni Mwiko

Yale unayoyaona uwanjani wanaume wanashikana shikana matako ni mpira tu, sio uhalisia wa wanaume kumbuka kuna mtu alaipigwa kichwa uwanjani sababu za kushika wenzie matako na kumtukana mama yake Zinedine Zidane
 
Mwenzangu hata mimi nimejifunza kwa Zuhura, siachani tena na mukaka wangu.

Zari lazima aje na drama mpya, huwa anajidai yuko cool kwa kudhani yataisha na Diamond hataoa atarudi kwake.

Ngoja tuone…
Nifah, Zari nae si kaolewa.. Walionesha kwenye ile show yao YFA.
 
Sijui kwa nini hadi leo huwa naona kuna walakini wa uhalisia wa mahusiano ya Zuchu na Diamond. Naona ni kama kiki au biashara tu kwa sababu Diamond hajawahi kuwa proud nayo

Hivi kibongobongo kuna prenuptial kwamba unaweza sign kabla ya ndoa maridhiano ya kutogawana mali pale mtakapoachana
Sijui kwanini Diamond hajawahi kuwa proud na Zuchu Kama ilivyokuwa kwa mahusiano yake mengine.

Hajawahi hata kukiri hadharani kutoka naye kimapenzi! Huwa najiuliza sana…

Hilo bado sijafahamu kama kutakuwa na prenup au lah!
 
Yani Zuhu anakubali ndoa ya uji? Familia ya mume kimeo, bado bwana boksa mkononi kokote anaivua.!! Hongera zake kwa kujiongezea matatizo.!
Yani ningekuwa mimi ningeomba Ramadhani ipite kwanza, ndoa ya uji jau!

Nimejisemea mie, kaamua kuolewa na matatizo yake!
 
Hawa wadada tunaowaona wa kawaida wana mbingu yao umpate ambae sio mnene hana kitambi, msafi, anajua mapishi & sio ropo ropo hapo ni kuwahi tu Kwa mkuu wa wilaya mkaingie mkataba
Wewe si ni kataa ndoa mwandamizi?
 
Nifah, Zari nae si kaolewa.. Walionesha kwenye ile show yao YFA.
Pale Zari kaoa kumrusha roho Diamond shogaa. Yule
Shakhib ana hata mia ya kununua pete?

Umesahau Diamond alikuwa akienda kuona watoto Shakhib anatimuliwa? Ndipo akawasha moto juzijuzi hataki ujinga wa Diamond kuja halafu yeye asiwepo.

Diamond akimuoa Zuchu Zari ataumia sana, tupo hapa hawezagi kuficha hisia zake.
 
Back
Top Bottom