Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........au ndo ile wanasema kiki, mmojawapo anataka kuachia EP, enewei leti asi weiti fo ze bigi iventi...,....Mkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.
Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
Huyo dogo Zuchu atampelekesha tu hana maajabuHabari moto moto kabisa.. jamaa aoe umri unaenda
Attention seekers hakuna kitu km hicho hicho kitanzi hatokivaaMkuu naamini Simba kakutana na wanawake wengi wazuri kuliko Zuchu hivyo inaniwia ugumu kuamini ya kuwa kuna mapenzi ya kweli kati yao.
Hatahivyo, sitaki kuonekana mchawi ila nawaombea mwisho mwema.
Wewe sio Mwanaume wanaume tukilala pamoja hakushikani matako na kukumbatiana tofauti na Wanawake wanaweza kulala pamoja mkashikana matako mkakumbatia hata kubusiana hio kwa Wanaume ni MwikoKwamba wewe unaujua uzuri wa Zari na Zuchu kuliko Diamond aliyeishi nao wote kwa miaka mingi?
Kuwa serious basi Mkuu.
Maandiko ya dini yanaruhus hayo?Kuchomoa akili sana. Bora kuchomoa kuliko kulea kabla ya binti kuolewa
Yes!Wadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Little do you know; hata Diamond yuko kimaslahi kwa Zuhura.Yetu macho. Ila Zuchu yupo kimaslahi zaidi.
Nifah, Zari nae si kaolewa.. Walionesha kwenye ile show yao YFA.Mwenzangu hata mimi nimejifunza kwa Zuhura, siachani tena na mukaka wangu.
Zari lazima aje na drama mpya, huwa anajidai yuko cool kwa kudhani yataisha na Diamond hataoa atarudi kwake.
Ngoja tuone…
Zuchu ni mkubwa si mdogo yule. Probably 30 or plus .Siamini, Diamond kumwacha yule binti wa Kikenya akaoa Zuchu, au kwa vile umri wa Zuchu unambeba
💯Zuchu ni mkubwa kwa Tanasha. Tanasha hajafikisha 30, nadhani 27.
Sijui kwanini Diamond hajawahi kuwa proud na Zuchu Kama ilivyokuwa kwa mahusiano yake mengine.Sijui kwa nini hadi leo huwa naona kuna walakini wa uhalisia wa mahusiano ya Zuchu na Diamond. Naona ni kama kiki au biashara tu kwa sababu Diamond hajawahi kuwa proud nayo
Hivi kibongobongo kuna prenuptial kwamba unaweza sign kabla ya ndoa maridhiano ya kutogawana mali pale mtakapoachana
Yani ningekuwa mimi ningeomba Ramadhani ipite kwanza, ndoa ya uji jau!Yani Zuhu anakubali ndoa ya uji? Familia ya mume kimeo, bado bwana boksa mkononi kokote anaivua.!! Hongera zake kwa kujiongezea matatizo.!
🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣Kwani Hao Hata Mwezi HaushiWataachana tu
Pale Zari kaoa kumrusha roho Diamond shogaa. YuleNifah, Zari nae si kaolewa.. Walionesha kwenye ile show yao YFA.