Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Wewe sio Mwanaume wanaume tukilala pamoja hakushikani matako na kukumbatiana tofauti na Wanawake wanaweza kulala pamoja mkashikana matako mkakumbatia hata kubusiana hio kwa Wanaume ni Mwiko

Yale unayoyaona uwanjani wanaume wanashikana shikana matako ni mpira tu, sio uhalisia wa wanaume kumbuka kuna mtu alaipigwa kichwa uwanjani sababu za kushika wenzie matako na kumtukana mama yake Zinedine Zidane
Mbona unachosema ni tofauti na tulichokuwa tunajadili Mkuu?
 
Can somebody check on Diamond? Is he alright? Team kataa ndoa tuna wasiwasi inawezekana mwenzetu kashikiwa bunduki
Zuchu amemnunia, ndio anabembelezwa kwa ndoa.
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Mama wa za ndani,ngojea tusubiri.
 
Unajua nikueleze ukweli, Diamond amekulia katika mikono yetu. Namkumbuka nikimuuliza kuwa ana matatizo yepi alipokuwa anadai kula wasichana nao wanakanusha. Alinijibu kuwa kwanini wasiseme ukweli? JK amefanya kazi kubwa kwa Diamond na bila JK Diamond asingekuwa hapo alipo. 2010 katika kampeni za JK acha tu.

Kwa hiyo inaniuma Diamond kuoa mtu kama Zuchu wakati warembo na mabinti wadogo wapo. Ila faida ya Zuchu ni kuwa hatotoa, maana msichana akishatotoa .... tuyaache.
Hapa unamaanisha nini Mkuu?
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Asante mdomo wa farasi
 
Sijui kwanini, kama Diamond angekuwa kijana wangu, ningehakikisha anamuoa Tanasha.
Kiukweli wengi tunampenda Tanasha baada ya Wema, ila ndio hivyo tena.
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya keshokutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
...na hiyo ndoa yao itavunjika kabla ya Ramadhan ya 2026. Kama kawaida ya ndoa za wasanii.
 
Wewe sio Mwanaume wanaume tukilala pamoja hakushikani matako na kukumbatiana tofauti na Wanawake wanaweza kulala pamoja mkashikana matako mkakumbatia hata kubusiana hio kwa Wanaume ni Mwiko

Yale unayoyaona uwanjani wanaume wanashikana shikana matako ni mpira tu, sio uhalisia wa wanaume kumbuka kuna mtu alaipigwa kichwa uwanjani sababu za kushika wenzie matako na kumtukana mama yake Zinedine Zidane
Umelewa?
 
Sijui kwanini Diamond hajawahi kuwa proud na Zuchu Kama ilivyokuwa kwa mahusiano yake mengine.

Hajawahi hata kukiri hadharani kutoka naye kimapenzi! Huwa najiuliza sana…

Hilo bado sijafahamu kama kutakuwa na prenup au lah!
Ndio maana naiona aidha ni drama ama ni biashara japo hadi sasa ukiangalia kwa ukaribu. Couple ya Diamond na Zuchu haijawa power couple kama kipindi yupo na Zari ama Wema ambazo zote zilimpa ile controversie au thamani kwa sababu alionekana kama anadate na wanawake ambao wapo on top of fame and beauty.

Kwa hiyo hii couple naona inamfaidisha Zuchu kuliko Diamond
 
Ndio maana naiona aidha ni drama ama ni biashara japo hadi sasa ukiangalia kwa ukaribu. Couple ya Diamond na Zuchu haijawa power couple kama kipindi yupo na Zari ama Wema ambazo zote zilimpa ile controversie au thamani kwa sababu alionekana kama anadate na wanawake ambao wapo on top of fame and beauty.

Kwa hiyo hii couple naona inamfaidisha Zuchu kuliko Diamond
Suala la ndoa nilikuwa siamini hadi niliposhtuliwa na mtu wangu nyeti, nilidhani ni drama tu.

Mwanzoni nilidhani pengine Diamond anaona aibu kwa ukubwa wake kuonekana anatoka kimapenzi na mfanyakazi wake, ila sasa kaamua kuoa kabisa sielewi.

Sijui kwanini aliamua kuyaweka mahusiano yao chini ilhali kwa Zuchu haiko hivyo.
 
Saa hizi watakuwa wanalia kama wamefiwa 🤣🤣 maana huyu alikuwa mwana chama mtiifu wa kataa ndoano
Kwakweli Zuchu ametuinua sana, itabidi wanawake tuitishe kikao tujadili kombe la kumpa mwenzetu na zawadi siku ya ndoa yao.
 
Hii ni habari njema sana... itawasaidia CHADEMA kushinda majimbo mawili ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom