Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Sababu wote ni waswahili ndio maana wanakuwa natural happy. You know what i mean?Ila wale wanapendana bwana...Nasibu akiwaga na Zuhura huwa anakuwa natural flani tofauti akiwa na Zari ,Donna sijui Fanta wote anakuwa amekaa ki camera camera....Hapo tatizo ni monster in law