ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Unaniita mtoto unataka kuninyima nini?Astaghfirullah, We mtoto nani kakufundisha kuzungumza hayo mambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniita mtoto unataka kuninyima nini?Astaghfirullah, We mtoto nani kakufundisha kuzungumza hayo mambo?
Koh Koh Koh 🤗Jamaa anapewa mbele na nyuma hana haja ya mchepuko.
Sikutaka wazee muone😑Koh Koh Koh 🤗
Jiko la Shamba lile kila Kuni imeingia.Aleleleeeee harusi tunayooo....
Nakala iwafikie team kataa ndoa wote.
Kweli Vijana wanafaidi 🤗Sikutaka wazee muone😑
Mimi ni MEKabla sijajibu nakuomba nijue wewe ni Ke au Me
Unaniita mtoto unataka kuninyima nini?
Hawa wadada tunaowaona wa kawaida wana mbingu yao umpate ambae sio mnene hana kitambi, msafi, anajua mapishi & sio ropo ropo hapo ni kuwahi tu Kwa mkuu wa wilaya mkaingie mkatabaKwa kweli Mkuu, Kwa uzoefu wangu na umri Mkubwa nilionao Wadada wengi wenye shape na warembo huwa hawana maajabu Kwa bed
Acha kutoa siri za mababu na wajukuu (joke)! Ukweli binti wa under 25 ni balaa kwa 60+ ujue. Huwa nawaita marafiki wa hiari.Hahaha........wengi huwa ni risk taker, kwahiyo wako radhi kufanya na kukupa kila kitu ili kukuteka
Wakianza kunyonya Koni utasema hawana meno mdomoni 🙈🏃🏃🏃
You have uncoded all the codeHawa wadada tunaowaona wa kawaida wana mbingu yao umpate ambae sio mnene hana kitambi, msafi, anajua mapishi & sio ropo ropo hapo ni kuwahi tu Kwa mkuu wa wilaya mkaingie mkataba
Ungejua wazee ndiyo magwijiSikutaka wazee muone😑
Hahaha..............bora tumezeeka sasa vinginevyo pension zingeenda😜Acha kutoa siri za mababu na wajukuu (joke)! Ukweli binti wa under 25 ni balaa kwa 60+ ujue. Huwa nawaita marafiki wa hiari.
HahahaUngejua wazee ndiyo magwiji
Ila kupigwa michakato vipi mkuuWadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
Usijali atakuja mamie, ya kwako lazima nihudhurie alafu nilete uzi humu ilivofana dizaini unavotuleteaga za watu.Mi mbona kuna mtoto wa mtu nimemng’ang’ania jamani?
Karibia mwaka wa pili yuko safarini namsubiri!
Wadada jifunzeni kutoka kwa Zuchu, hakuna kuzaa mpaka kuolewa...
.......so unamaanisha ni swala la muda tu, kataa ndoa watazoa point tatu muhimu......Bado siyo sababu Nifah...
Hujawahi kuona Uchumba unaweza kudumu hata miaka mitano..
Ila Ndoa mwaka mmoja tu Chalii...
Mungu awasaidie.