HYes maana wangeruhusu watu kuondoka , wangebaki wenyewe, na Israel asingepata tabu kuingia. Ndio maana IDF kapambana tangu Jumapili Leo ndio kaingia, ili asowadhury raia.
Acha wafe tu.Hamas wamewaletea balaa Wapalestina wanyonge ila Israel pia imeenda mbali mno maana raia wengi sana wa Gaza wamekufa mpaka sasa.
hapa wap?Hebu tuambie wamekuta nini huko hospitali?
raia wa gaza ni wapuuz wananguvu ya kuiponda Israel ila hawana nguvu ya kukemea matendo mabovu ya hamas , haya ni matokeo ya unafik waoHamas wamewaletea balaa Wapalestina wanyonge ila Israel pia imeenda mbali mno maana raia wengi sana wa Gaza wamekufa mpaka sasa.
TakbirrrrKila kitu kina mwisho wake, HAMAS waliofanya hospitali kuwa makao makuu yao ndio mwisho wao sasa, makomando wa Israel wameanza kuingia kiaina fulu mpambano....yaani movie.
Israel’s military has said it was carrying out a raid against Hamas in al-Shifa hospital early on Wednesday, conducting what it called a “precise and targeted operation against Hamas in a specified area” of the medical complex.
Less than an hour earlier, around 1am local time, a Gaza health ministry spokesperson said Israel had told officials in the territory that it would raid the hospital complex “in the coming minutes”. Al-Shifa is Gaza’s biggest hospital.
Dr Munir al-Bursh, director-general of the Gaza health ministry, told Al Jazeera television that Israeli forces had raided the western side of the sprawling site. “There are big explosions and dust entered the areas where we are. We believe an explosion occurred inside the hospital,” Bursh said.
Israeli soldiers raid al-Shifa hospital in escalation of Gaza offensive
Head of the World Health Organization calls decision to send troops into hospital ‘totally unacceptable’www.theguardian.com
Walituaminisha kuwa siku IDF wakapoingia Gaza itakuwa ndio kiama chao na hakuna askari wa IDF atakaetoka salama! sasa mbona wao magaidi wa Hamas ndio wanamalizwa kila uchwao na vituo vyao kukamatwa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sisi tuna subiri kuona hao magaidi mlio sema wanajificha hospitalini.Daah...! Ona sasa Hamas upumbavu wao?. Dunia iwaone. Wanajificha nyuma ya watoto na wanawake. Wamejichimbia handaki hospital ili ikifumuliwa na IDF,wanaanza kupiga kelele. Janja yao imegundulika mbwa hawa. Watapigwa wachakae
Afadhari yako ww ambaye hutokufa.Acha wafe tu.
Si hilo tu, Iran kauficha mkia wakeWalituaminisha kuwa siku IDF wakapoingia Gaza itakuwa ndio kiama chao na hakuna askari wa IDF atakaetoka salama! sasa mbona wao magaidi wa Hamas ndio wanamalizwa kila uchwao na vituo vyao kukamatwa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hamas wanaomba PauseIsrael imedhamiria kuifuta Hamas Gaza, viongozi wa Hama's waendelee kula Kuku tu Dubai huku wanawaponza wenzao Nyumbani.
Hakuna mtume anaye itwa mudi bali mudi ni jina la hawala wa mama yako na ndio maana unapenda sana kulitaja maana ni jina la baba yako wa kambo.
🤣🤣🤣 HUYU NDIO KIONGOZI WA KIISLAMU ANAYETETEA HAKI ZA WAPALESTINA WAARABUView attachment 2814389View attachment 2814390
Nimesoma heading yako nikaona huna ufahamu wowote wa kinachoendelea kwenye hiyo vitaHUYU NDIO KIONGOZI WA KIISLAMU ANAYETETEA HAKI ZA WAPALESTINA WAARABU
Hatuwahitajimateka wenu mumeshawapata ?
Siyo septemba ni OktobaHama's ndio adui mkuu wa Wapalestina.
Haya yote ni majibu ya upuuzi walioufanya September 7.
Inaonekana mwezi September unapendwa na magaidi wa kiislamu kuuwa watu wasiokuwa na hatia.
Hamas hawataki watu waondoke maeneo ambayo wamejificha. Na wamekua wakishinda vita ya propaganda kwa kudai israel inaua raia. Yaani hamas wanataka dunianleo iamini hakuna askari wao hata mmoja ameuawa[emoji23][emoji23].
Wakati israel inaripoti hadi idadi ya askari wao waliouawa wao hamas wanaripoti wanawake na watoto tu yaani hata wanaume pale gaza hawajafa. Hao ndio hamas kwa sura yao halisi.
Israel inashambulia kwa ndege kuzunguka maeneo ya hospital na maeneo mengine ya Gaza,wameingia hospital wanapiga risasi na mizinga,hawajakutana na chochote zaidi ya vifaa tiba
mateka wenu mumeshawapata ?
Ww jamaa una maneno mengi sana nadhani una uchungu na Israel kuliko hata Netanyau mwenyewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]maana sio kwa nguvu hizo unazo tumia kuisafisha.
Hakuna haja ya maneno mengi si wameshaingia hospitalini sasa tunasubiri hao mateka na viongozi wa hamas tuwaone maneno mengi ya nn?