Watumishi wa Mungu zama hizi wana kazi sana. Ndoa inafungwa mimba kubwaaa inabidi tu wafumbe macho hivyo hivyo vinginevyo wakijifanya kuwa wakali watakosa wauminiDaahh, Tulioneshwa Junior anachukungulia mlango sasa ndio ndoano inafuata...
Huyu mfungisha ndoa na hili kanisa linabariki ndoa ya namna hii...!!
Enewei, maharusi karibuni chamani!
Koffi yupo bize anajifua na show kabambe mwezi huu kuwajibu wenge musicaKwanini hawahamualika KOFI OLOMIDE a.k.a Papa mobimba?
Acha tu hapa mmehangaika ndo imekubali.Yah!!!App Inatutesa mno...ila tunakomaa nayo tu hivyo hivyo..
Umeona Nandy alivyolia wakati wa kula kiapo? Hadi nimelia na mimi[emoji26][emoji26]
Kuanzia michupi ,jasiri mpk hapo walipofikia,wanastahiki kuoana..Ila ukweli Nandy na Nenga wamevumilia vingi mnooo.
Balaa kabisaa....Yani wivu tuIla nyie watu, khaaaaah.
Hamna dogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3059][emoji3059]kila la heri kwao love is buliful [emoji7]
Hana Cha kusema ,acha waoaneMlongo leka bhana, jova neno basi kwa vahanu hava. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watakosa sadaka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Watumishi wa Mungu zama hizi wana kazi sana...
Ndoa inafungwa mimba kubwaaa inabidi tu wafumbe macho hivyo hivyo vinginevyo wakijifanya kuwa wakali watakosa waumini
Mnoooo live is byutiful thing[emoji3059][emoji3059]kila la heri kwao love is buliful [emoji7]
Karembo sana aisee ndomana Ruge uzalendo ulimshinda akawa anakabungua kimyakimya ikaja kuleak baada ya kuvuta boxIla Nandy ni karembo
Demu wa kawaida sana sio mkali kiivyoIla Nandy ni karembo
Wamekutana wote masela wale πππ na hawajali watu wanasema nnNavy kenzo miaka 10 na usheee hawajaoana tutaona mengi kila kitu ni kheri