Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?Ni kweli kikwete ana mapungufu yake,lakini nafikiri ni mtu muhimu sana kwenye nchi yetu anayeweza kudeal vizuri sana na Hawa warwanda.
Lugumi ni nani kwenye usalama wa hii nchi mpaka awe na taarifa nyeti za kumsaidia aduiImekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.
Muuza silahaLugumi ni nani kwenye usalama wa hii nchi mpaka awe na taarifa nyeti za kumsaidia adui
Tatizo lako bado u mgeni katika siasa za mzee wa Msoga japo unajifanya unamjua na huku humjui.Lugumi ni nani kwenye usalama wa hii nchi mpaka awe na taarifa nyeti za kumsaidia adui
Sema intellijensia ya Kagame sio ya mchezo kabisaTatizo lako bado u mgeni katika siasa za mzee wa Msoga japo unajifanya unamjua na huku humjui.
Ikiwa humjui Lugumi wewe ni mhamiaji tu kutoka Kivu ila PK anajua anamjua Lugumi kuwa ni mtu muhimu katika kufanikisha harakati zake....
Kale kademu kutoka Rwanda katamaliza misheni soon.
Huwezi fanikisha hizi kazi za ki usalama bila ku interact na hao unaoona ni adui halafu jua pia sio Kila mtusi ana mkubali PKImekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.
Yaani huyo mzee aliyesimamia kuvunja katiba ya CCM pale Dodoma ndio unasema alishatoka madarakani?PK yuko madarakani mda wote ila JK aliingia na kutoka
Intelejinsia iliyonaswa na wewe au sio?!!!!Sema intellijensia ya Kagame sio ya mchezo kabisa
Bado hawezi kuwa na nguvu kama ilivyokuwa akiwa RaisYaani huyo mzee aliyesimamia kuvunja katiba ya CCM pale Dodoma ndio unasema alishatoka madarakani?
Usidanganywe ndugu JK hajatoka madarakani, baada ya kuua 'mchawi' mzee wa Msoga alirudi madarakani so hana tofauti na PK.
Pale Dodoma alijimwambafu kwamba "wachawi walishakufa" sijui kama ulimuelewa 😂
Bila shaka utasema pia hana uwezo wa kumpa wizara mwanaye Ridhiwani ilihali dogo kapewa wizara wakati hana uwezo wa kusimamia wizara, hivi unadhani JK angekuwa sio mroho wa kutawala muda mrefu wangegawana madaraka watu wa familia moja?Bado hawezi kuwa na nguvu kama ilivyokuwa akiwa Rais
Kilichotokea dodoma hakimfanyi kuwa na nguvu kiasi hicho
Bibi Titi MohamedBila shaka utasema pia hana uwezo wa kumpa wizara mwanaye Ridhiwani ilihali dogo kapewa wizara wakati hana uwezo wa kusimamia wizara, hivi unadhani JK angekuwa sio mroho wa kutawala muda mrefu wangegawana madaraka watu wa familia moja?
Bibi Titi ni kama pazia tu katika kuiongoza serikali ila kiongozi ni huyo mzee wa Msoga ambaye ndoto yake ni kuongoza muda mrefu kwa mlango wa nyuma.
Kamata hii hii mkuu.
Jamaa yupo smart sana