nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Kuwa na watu km ww ni hasara kwa TaifaImekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.