nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Kuwa na watu km ww ni hasara kwa TaifaImekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.
Bado JK yu hai, sidhani kama anaweza kukubali kuona taifa lake linaangamia kwa kukosa maamuzi ya taasisi ya urais. Hivyo In Any case kama Kagame ataonekana tishio kwa usalama au uchumi wetu, ni wazi JK ataingilia kati na kutoa ushauri au maelekezo kwa mamlaka iliyopo.Huwezi fanikisha hizi kazi za ki usalama bila ku interact na hao unaoona ni adui halafu jua pia sio Kila mtusi ana mkubali PK
Hata pale US Kuna warusi wengi TU sawa na pale urusi Kuna wa US wengi sana
Huu mchezo unachezwa pande zote sema wenzetu wananufaika maana PK yuko madarakani mda wote ila JK aliingia na kutoka na ujue nguvu ya mamba ni maji
Ila kwa usmati jk alipambana vizuri sana na PK
Bado mnaweweseka tu na JK, poleni sana maadui zake maana uzushi mnaozusha mpaka unajirudia.......Bila shaka utasema pia hana uwezo wa kumpa wizara mwanaye Ridhiwani ilihali dogo kapewa wizara wakati hana uwezo wa kusimamia wizara, hivi unadhani JK angekuwa sio mroho wa kutawala muda mrefu wangegawana madaraka watu wa familia moja?
Bibi Titi ni kama pazia tu katika kuiongoza serikali ila kiongozi ni huyo mzee wa Msoga ambaye ndoto yake ni kuongoza muda mrefu kwa mlango wa nyuma.
Kamata hii hii mkuu.
Hako kademu ukute kameshakandwa hadi kenyewe ndo kakasema siri zote za aliyemtumaTatizo lako bado u mgeni katika siasa za mzee wa Msoga japo unajifanya unamjua na huku humjui.
Ikiwa humjui Lugumi wewe ni mhamiaji tu kutoka Kivu ila PK anajua anamjua Lugumi kuwa ni mtu muhimu katika kufanikisha harakati zake....
Kale kademu kutoka Rwanda katamaliza misheni soon.
Swma tu, "mapungufu yake" ni Uislam wake.Ni kweli kikwete ana mapungufu yake,lakini nafikiri ni mtu muhimu sana kwenye nchi yetu anayeweza kudeal vizuri sana na Hawa warwanda.
Dingi alikuwa anakanyaga ung'eng'e umenyooka sana.
Rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadiBado mnaweweseka tu na JK, poleni sana maadui zake maana uzushi mnaozusha mpaka unajirudia.......
Kuwa na watu km ww ni hasara kwa TaifaKuwa na watu km ww ni hasara kwa Taifa
Haha imebidi nichekeImekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.
Poleni sana haters, ye alishajitokea miaka karibia 10 iliyopita huko.....pambaneni na Hali zenu tu. Watoto wa viongozi kibao wapo serikalini lkn, kwa sababu zenu, mmemtaja kikwete tu.Rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadi
Propaganda za Mzee Mchonga Ili kuunga mkono uasi wa AFDL chini ya Laurent Desire Kabila (Rip) uliokuwa ukiungwa mkono na Rwanda pamoja na Uganda kwa Kivuli cha Banyamulenge/Banyarwanda.
Na mama zao wapo bungeni?Watoto wa viongozi kibao wapo serikalini
Sasa lugumi ndio nani si chawa tu...Honestly nataka PK atolewe madarakani tena kwa kupigwa shaba anachafua sana hali ya hewa ya huu ukanda wetu.Imekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.
Sijui, tuambie. Hivi huko mbungeni mzalendo nambari one hakuhusika yeye mwenyewe?!!!! Mbona shutuma zinaenda kwa jk tu Sasa?!!!!Na mama zao wapo bungeni?
Hakuna nchi isiyo na majasusi wa kigeni, hata Amerika na power defence yake, power intelligence yake ina majasusi wengi tena wa nchi ndogo.Huwezi fanikisha hizi kazi za ki usalama bila ku interact na hao unaoona ni adui halafu jua pia sio Kila mtusi ana mkubali PK
Hata pale US Kuna warusi wengi TU sawa na pale urusi Kuna wa US wengi sana
Huu mchezo unachezwa pande zote sema wenzetu wananufaika maana PK yuko madarakani mda wote ila JK aliingia na kutoka na ujue nguvu ya mamba ni maji
Ila kwa usmati jk alipambana vizuri sana na PK
Na ndivyo ilivyo!Hako kademu ukute kameshakandwa hadi kenyewe ndo kakasema siri zote za aliyemtuma
Lugumi ni nani kwenye intelligence ya nchi hii?Imekuwaje kijana wake Lugumi akanasa kwenye penzi la sleeper agent kutoka Rwanda?
Acha kumpamba mzee wa Msoga hawezi pambana na yule kimbaumbau wa Rwanda maana PK kasambaza majasusi wa kike wengi sana bongo Lugumi kanaswa sasa ataropoka kila kitu kwa huyo demu.
Hahaha, kuna wananchi wa hii nchi wana vituko mno.Na ndivyo ilivyo!
Eti sisi huku umatumbini tunajua lugumi yupo na majasusi halafu wenyewe majaji hawajui na hawana cha kufanya!!!