Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Drunk as F.
wewe dada ni mdini hadi unakeraSwma tu, "mapungufu yake" ni Uislam wak
Said mwema kaoa dada yake kikwete,kugumi kaoa kwa said mwemaLugumi ni nani kwenye usalama wa hii nchi mpaka awe na taarifa nyeti za kumsaidia adui
w
wewe dada ni mdini hadi unakera
Ni kweli alimminya kimya kimya mpaka jamaa akakohoa damu?Kikwete anajua vizuli kuzitumia camera na vinasa sauti
Nakumbuka baada ya maneno hayo mbele ya vyombo vya habari huku nyuma alitoa maagizo mazito yaliyo mfanya kagame mpaka leo hawezi kumsahau kikwete na Tanzania kwa ujumla
Nilicho jifunza kupitia hotuba hiyo kuntu ya kikwete nikwamba wakati mwingine sio lazima utangaze kitu sawa na kile unacho fanya au kufikilia kukifanya
Lazima nikereke na watu kama nyie mnaoleta udini kila sehem maan udini ni sehemu ya kutugawa tubapiga vita ukabila, udini na aina yoyote ya kutugawa. Uislam hauna cha kunikera maan ni sehem ya jamii ninayoishiUtakereka sana. Ulitaka niwe mpagani?
Dini yangu, mdini mimi, wewe unakereka nini? Au Uislam unakukera?
Wote wenye mawazo kama yako ni wajinga tu waliwaoNdio maana nimeuliza, mimi na weqe wasomi tupo, sasa imekuaje hatupo hapo walipo wao kama suala ni usomi??
Mtu chake kaka ,tukubali tukatae ,hata wewe ungefanya hayo hayo. Tuwe wa kwel. Hata mimi nitafanya hivyo hivyo nikipata fursa
Haya sawa, ila hujajibu hoja ndugu yangu unakimbilia matusi πππWote wenye mawazo kama yako ni wajinga tu waliwao
Huna hoja yoyoteHaya sawa, ila hujajibu hoja ndugu yangu unakimbilia matusi πππ
Mzee
Mkuu samahan naomba unidhamini nipate japo soft copy ya hicho kitabu
KUbali tu mzee, uongozi nchi hii wala hauhitaji shule, na nyie na shule zenu wala hamna la maana la kuifanyia nchi hiinkwa kigezo chenu cha elimu.Huna hoja yoyote
Hata mama Salma na mwanaye ni wabunge ujue ππWasomi kibao wamejaa bungeni na ma phd yao ila ni mavi matupu wanachofanya.
Woote mavi tuHata mama Salma na mwanaye ni wabunge ujue ππ
Mwanasheria wako ana cheti?Woote mavi tu
Ndio kwanza yuko second year nowMwanasheria wako ana cheti?
Kipindi hichi ndo ndugu zake anti English medium LIKUD matendo Manono alifurumishwa bongo.