Hebu piga picha kama Tundu Lissu asingerudi

Hebu piga picha kama Tundu Lissu asingerudi

Papa1

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
2,017
Reaction score
2,210
Najaribu kuwaza jinsi hali ya siasa ingekuwaje bila uwepo wa Tundu Lissu. Nafikiria jinsi Mgombea mwingine angenyanyaswa, wananchi kutishwa huku hakuna msaada wa Amsterdam, kweli kampeni zingepigwa?
 
Kuna baadhi ya vitu majibu yake ni ya kiroho zaidi na hutokea kwa wakati wake nje ya utashi wa binadamu
Ma free mason ndio walimtandika risasi baada ya kuwadhulumu na kutaka kulala mbele na kujitoa .,Pete lao halivai tena angalia pete lake kila akiongea alikuwa akiinyanyua kulenga watu usoni

1602052881060.png
 
Back
Top Bottom