Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna baadhi ya vitu majibu yake ni ya kiroho zaidi na hutokea kwa wakati wake nje ya utashi wa binadamuNajaribu kuwaza jinsi hali ya siasa ingekuwaje bila uwepo wa Tundu Lissu. Nafikiria jinsi Mgombea mwingine angenyanyaswa, wananchi kutishwa huku hakuna msaada wa Amsterdam, kweli kampeni zingepigwa?
Matendo ya binadamu si ya Mungu ...kila jambo lina unabii wake na ili unabii utimie lazima awepo mbeba maono mmojaSi kurudi Tanzania tu, mi nafikiri mbali zaidi na kusema je kama Lissu angekufa baada ya lile shambulio..
Yaani hali ingekuwa ni mbaya ziadi ya kile kipindi cha ukoloni.
Ni huyu tunaye nchi imemshinda amebaki kurukaruka hapa na pale kama swLaBado najiuliza aliyempiga Risasi Lissu ni nani na alikuwa na lengo gani?
Alikusudia kumuua Lissu kwa sababu gani?
Hakuna Lisu cha mtoto ona Nyalandu alivyokuwa kajiandaa na hakuna mtu alimsumbua
Anasitahiri kuitwa Mbeba maonoNajaribu kuwaza jinsi hali ya siasa ingekuwaje bila uwepo wa Tundu Lissu. Nafikiria jinsi Mgombea mwingine angenyanyaswa, wananchi kutishwa huku hakuna msaada wa Amsterdam, kweli kampeni zingepigwa?
Ma free mason ndio walimtandika risasi baada ya kuwadhulumu na kutaka kulala mbele na kujitoa .,Pete lao halivai tena angalia pete lake kila akiongea alikuwa akiinyanyua kulenga watu usoniKuna baadhi ya vitu majibu yake ni ya kiroho zaidi na hutokea kwa wakati wake nje ya utashi wa binadamu
Hakuna Lisu cha mtoto ona Nyalandu alivyokuwa kajiandaa na hakuna mtu alimsumbua
Aliyeagiza Lissu apigwe risasi hatapata amani nafsini mwake katu.Bado najiuliza aliyempiga Risasi Lissu ni nani na alikuwa na lengo gani?
Alikusudia kumuua Lissu kwa sababu gani?