Mungu ni MKUU na akiamua kitu basi no body can do or say anything, Huwa najaribu kufikiri kua zile risasi 16 zilizomwingia na hakufa bado wakati kuna watu wanapigwa ka risasi kamoja tu wanakata moto on the spot, Nakosaga majibu ya kidunia na nabaki kumwamini Mungu ndio alitenda hii miujiza...
Mpaka muda huu sijapataga kujua hawa watu wasiojulikana ni kina nani? Au TZ siku hizi tunaishi na Aliens.? Naamini hata hao aliens tunaowaskiaga, hawawezi kutenda unyama ka ule dhidi ya binadamu...
Kumepoa sana asaiv bila kusikia kampeni za Lissu, Nilikua nimezoea kumskiza jamaa, sema tar 9 keshokutwa tu...