Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua bro huwa unanifurahishaga sn yaan kila ki2 kinachotokea in life ww unakitraspend kiroho sitoshangaa siku nikakuta umefungua thread "kula chipsi kuna maana nzito kiroho "Kuna baadhi ya vitu majibu yake ni ya kiroho zaidi na hutokea kwa wakati wake nje ya utashi wa binadamu
Ni kwa zwazwa tu ndiye anaweza kudhani Lissu ni msaliti wa mali ya Taifa while the vice versa is the truth. He stole 2.7 trillions from treasury coffers, he was involved in so many other corruption activities.Mheshimiwa Rais Magufuli yuko sawa kabisa. Duniani kote wasaliti wa maslahi ya taifa wanachukuliwa hatua kali
Eti mafree mason? Nigga are you nuts?Ma free mason ndio walimtandika risasi baada ya kuwadhulumu na kutaka kulala mbele na kujitoa .,Pete lao halivai tena angalia pete lake kila akiongea alikuwa akiinyanyua kulenga watu usoni
View attachment 1592731
Kweli anapata taabu mpk kupiga magoti bila Lissu angepiga saa ngpLengo lake lilikuwa asije kupata taabu kama anayo ipata sasa!
Umesahau la kumpa nyumba awala na kuuzia nyunba nduguzeNi kwa ZWAZWA tu ndiye anaweza kudhani lissu ni msaliti wa mali ya Taifa while the vice versa is the truth. He stole 2.7 trillions from treasury coffers, he was involved in so many other corruption activities.
Agombei labda rungweKura yangu ni kwa membe
Amsterdam anafyatisha mkia madikteta kamili sembuse uchwara.Muulize putin,pia wale waliokuwa wakiuwa waislamu wa Roinga kule Mynmar wanaijuia cv yake.Ngoja amalize kumshughulikia kwanza yule wa Cameroon Paul biya kabla ya kuondoka na mtu wakeNajaribu kuwaza jinsi hali ya siasa ingekuwaje bila uwepo wa Tundu Lissu. Nafikiria jinsi Mgombea mwingine angenyanyaswa, wananchi kutishwa huku hakuna msaada wa Amsterdam, kweli kampeni zingepigwa?
AaahYaani nisipokuta jina la Membe kwenye karatasi za kura nitajaza matusi hapo mpaka washangae
NEC hawana jinsi zaidi ya kutenda haki.Mimi na wengine wengi tulishaamua kwamba hatutakwenda vituoni kupiga kura. Nikifikiria zile chaguzi ndogo za marudio na ule uchaguzi wa serekali za mitaa, ukisikia ba kauli za hovyo toka kwa kiba Ndugai na kina kibajaji na Msukuma, unakatishwa tamaa kwa kiwango kikubwa kabisa.
Ila sasa, tumeamua kwenda kupiga kura, tutapiga kura na kuzilinda. Tunahitaji viongozi jasiri wa aina ya lissu. Nakuhakikishieni huku nilipo kura za lissu ni za kumwaga. Shida nayoiona ni kule tume. Watamtangaza?
Utumwani Misri miaka 400, utumwani babeli miaka 70 wacha tuone hiki kifungo kitaisha lini..Siku zote Mungu huwa ana makusudi yake! Hawezi kukiacha kizazi chake kikanyagwa milele ni lazima atamuibua shujaa wa kuwakomboa! Lissu ameletwa na Mungu amini nawambia!
Ujio wa Lisu umewachanganya Sana nec wawe wapole awataachishwa kazi baada ya reformNEC hawana jinsi zaidi ya kutenda haki.
Mzee wala kushingekuwa na uchaguzi. Wangeendelea tu na ushetani wao.Najaribu kuwaza jinsi hali ya siasa ingekuwaje bila uwepo wa Tundu Lissu. Nafikiria jinsi Mgombea mwingine angenyanyaswa, wananchi kutishwa huku hakuna msaada wa Amsterdam, kweli kampeni zingepigwa?
Tanzania utumwani miaka 59 baada ya uhuru.Utumwani Misri miaka 400, utumwani babeli miaka 70 wacha tuone hiki kifungo kitaisha lini..
Ni kweli kabisaKuna baadhi ya vitu majibu yake ni ya kiroho zaidi na hutokea kwa wakati wake nje ya utashi wa binadamu
Hakika. Mungu ni mwema.Ilikuwa lazima arudi. Ndio maana risasi 16 zilizoingia mwilini (na 16 zilizopiga gari tu) hazikumuua. Mungu ana malengo yake.