Mungu akamleta Lissu kuamusha tumaini lililolala.Walisha u demoralise upinzani vya kutosha. Tungebaki kusubiri Rais na wabunge waliopita bila kupingwa kuapishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akamleta Lissu kuamusha tumaini lililolala.Walisha u demoralise upinzani vya kutosha. Tungebaki kusubiri Rais na wabunge waliopita bila kupingwa kuapishwa.
Mungu mbariki Tundu LissuMungu akamleta Lissu kuamusha tumaini lililolala.
Hata sasa hana amani. Huwezi kamwe kumsikia akitaja hata jina lake.Aliyeagiza Lissu apigwe risasi hatapata amani nafsini mwake katu.
Alisaliti nini,mbona akufa sasaMheshimiwa Rais Magufuli yuko sawa kabisa. Duniani kote wasaliti wa maslahi ya taifa wanachukuliwa hatua kali
Bado najiuliza aliyempiga Risasi Lissu ni nani na alikuwa na lengo gani?
Alikusudia kumuua Lissu kwa sababu gani?
Bado najiuliza aliyempiga Risasi Lissu ni nani na alikuwa na lengo gani?
Alikusudia kumuua Lissu kwa sababu gani?
Pete ya ndoa..mmeishiwa hoja mnaleta vihoja..no yeye 2020Ma free mason ndio walimtandika risasi baada ya kuwadhulumu na kutaka kulala mbele na kujitoa .,Pete lao halivai tena angalia pete lake kila akiongea alikuwa akiinyanyua kulenga watu usoni
View attachment 1592731
Nitapenda sana kama komenti zenu hizi mtazitoa baada ya Oktoba 28! Ahahahahahah!!!!!!Kuna baadhi ya vitu majibu yake ni ya kiroho zaidi na hutokea kwa wakati wake nje ya utashi wa binadamu
ccmchanel
Dikteta jiwe must go, no way out
Mpuuzi ni yule anaedhani mawazo yake ni sawa na maneno ya vitabu vitakatifu wakati sote ni binaadam, jifunze nidhamu .....iko hivi wasingemtaka arudi asingerudi hata wao wanaujua umuhimu wa kumuacha arudi kwenye uchaguzi huu Mbowe hana mambo tena...hizi ni Fikra zangu sikuvuti.Walikubali arudi kwa hiari yao? Acha upuuzi Mkuu, kurudi kwa Lissu ni SHINIKIZO kutoka huko duniani.
Ni kweli, kama walivyo NEC CCM. Watanzania hutuko tayari kuchaguliwa mgomea kwa kigezo za kujenga fly over, huu ni upuuzi mtupu.Mpuuzi ni yule anaedhani mawazo yake ni sawa na maneno ya vitabu vitakatifu wakati sote ni binaadam, jifunze nidhamu .....iko hivi wasingemtaka arudi asingerudi hata wao wanaujua umuhimu wa kumuacha arudi kwenye uchaguzi huu Mbowe hana mambo tena...hizi ni Fikra zangu sikuvuti.