THE PRINCE
Member
- Feb 22, 2011
- 40
- 6
OK, tafuta mtumishi aliye karibu nawe, mshirikishe. unahitaji tiba kiroho. adui anawezatumia hiyo nafasi kukuumiza zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wifi michelle,,,tutakuwa na dinner ya pamoja na mpenzio mpya leo saa 2 jioni,venue ntakujulisha kwa pm,,,barikiwa sana
Pataziba......
Ahaaaa ahaaaa homeboy inakuwaje si unajua tena.......Challenges are what make life interesting; overcoming them is what makes life meaningfulnaona mdogo mdogo......l.o.l
Uko sawa coz unajaribu kuyaendesha mawazo yako.soma post iliyoandikwa (Waliomo wanatamani KUTOKA,na walio nje wanatamani KUINGIAMwenzenu nilivunjwa moyo miaka miwili iliyopita, Tangu moyo ulivyovunjika nimekuwa nikimuomba Mungu aniponye na nina Imani ameniponya kabisa, manake najiona sina kinyongo, wala uchungu na huyo heart breaker, na ninachomshukuru Mungu zaidi nina furaha na Amani, na maisha yanaendelea vizuri.
Pamoja na hivo ninamshukuru Mungu kwa sababu amenisamehe dhambi niliyokuwa nimeitenda, kwa sababu nilijidai ninampenda sana huyo mtu kuliko hata Mungu, nikampa vyote, nafsi, roho na mwili. Wakati mwingine hata muda wa kwenda kuabudu ulipungua kwa kumpa huyo heart breaker muda mwingi zaidi.
Baada ya tukio hilo,niliamua kujipa likizo ya kumpenda mwanaume, yani nikaziba madirisha yote ya kumkaribisha mwanaume moyoni mwangu.
Siwachukii lakini nimejipa likizo kwa muda wa miaka mitano hivi, na sasa huu ni mwaka wa pili, ina maana bado miaka mitatu.
Je uamuzi wangu wa kujipa likizo ni sahihi?
Najiona ninaweza kuendelea na likizo hadi miaka mitatu iliyobakia iishe, je ni kweli au
naidanganya nafsi yangu.
Angalizo Marufuku kunitania Broken Heart!! Umesikia GY, Asprin, TF, Askofu na Teamo T, bila kumsahau Bigirita. Mjukuu mtiifu umesikia!! na wewe St. RR.
Atiiiiiiiii unasemaje..........Asante wifi....ngoja niende saloon kujiweka sawa....nipendeze ning'ae kama sijawahi kuwa heart broken vile.....(sweet 10).......nasubiri hiyo PM wifi yangu...barikiwa sana!
ahaaaa ahaaaa homeboy inakuwaje si unajua tena.......challenges are what make life interesting; overcoming them is what makes life meaningful
Ila najua sasa hivi unataka kuwa HEARTMAKERWakikusikia wenyewe mi simooooooooooooooooo!!!!
On a serious note i am becoming sick of that symptomahahahhaaaaa........miss you ad!!!!!!
OK, tafuta mtumishi aliye karibu nawe, mshirikishe. unahitaji tiba kiroho. adui anawezatumia hiyo nafasi kukuumiza zaidi
HC endelea kuniombea kama unavyofanya hapo,
Coz we dont know what tommorow has to offer!!!!
On a serious note i am becoming sick of that symptom
Atiiiiiiiii unasemaje..........
Ahaaaa ahaaaaa kuna ile GIN and JUICE ya Dr Dre na SnoopGet your self some Gin and Juice...
Elodii tunaruhusiwa kuifanya chat rum? si sridi imekua klozdi?