Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
 
Ilikua pesa mingi kipindi hiyo...kilo ya Nyama ilikuwa 2500 huku niliko .....leo hii kilo 9000!....imagine?! 3+times today rate!...

Na bado watu wanalipwa hii hela KWA sasa na maisha yanaendelea!
Kama kumbukumbu yangu ipo sawa, miaka hiyo nilikua nanunua mfuko wa cement kwa shilingi 4800
 
Back
Top Bottom