Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

TSh 2,173,500 ulisomea Pharmaceutical Science, Mining Engineering au Unahodha?

Baharia

....

[emoji3578]
Mkuu kama nilivyosema hapo juu nilitoka huko na kuhajiri nchi nyingine na hela ya huko iko juu sana kwa thamani yaani $3 ndio yao 1

The most valuable currency in the world hiyo mkuu na mpaka sasa

Wala sina elimu kihivyo bali ndio mshahara nilioanzia
Na uzuri ukioa mshahara unaongezeka na ukipata mtoto mshahara unaongezeka
Ukiongeza mke unacheka tu
Kuna jamaa zangu walikuwa na wake 3 watoto dozens

Ningekuwa petroleum engineer kwa sasa ningewekeza kwenye Gas huko kwa mishahara ilivyokuwa minono
 
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Ajira yangu ya kwanza ilikuwa mwaka 2000, niliipata nikiwa bado chuo (UDSM), namalizia malizia. Ilikuwa 14 July 2000. Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa Tshs. 250,000/- (net pay).
 
Mkuu kama nilivyosema hapo juu nikitoka huko na kuhajiri nchi nyingine na hela ya huko iko juu sana kwa thamani yaani $3 ndio yao 1

The most valuable currency in the world hiyo mkuu na mpaka sasa

Wala sina elimu kihivyo bali ndio mshahara nilioanzia
Na uzuri ukioa mshahara unaongezeka na ukipata mtoto mshahara unaongezeka
Ukiongeza mke unacheka tu
Kuna jamaa zangu walikuwa na wake 3 watoto dozens

Ningekuwa petroleum engineer kwa sasa ningewekeza kwenye Gas huko kwa mishahara ilivyokuwa minono
Good nimekuelewa vizuri mkuu,
✍️
 
Back
Top Bottom