Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
- Thread starter
- #41
Heshima yako mkuu, Mungu azidi kubariki kazi za mikono yako...🙏Sijawahi ajiriwa Kwa mshahara wa mwezi ila job niliyokuwa nafanya KIPINDI hicho 2015-2017 mwanzoni ilikuwa sikosi 40000 au 20000per day siku job zikiwa ngumu Basi 10000