Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Nilianza na mshahara 1.2 million... ndani ya miezi sita nikapiga tukio la zaidi 40 million... nikadakwa nikawekwa ndani.. wakanitoa baada ya siku tatu nikarudishwa kazini... nikafanya miezi mitatu nikaacha kazi mwenyewe.... paka sasa hivi mshahara wangu ni NIL sifuriii
Vp mkuu ulirejesha hicho kiasi?
 
Back
Top Bottom