Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Tz vijiji ni vingi hebu weka location vizur🤣🤣🤣🤣
Location wazi haipendezi et...
Kila mtu afahamu kama nalima mlenda?

Tuingie chemba tuongee vizuri maana wachawi wengi hapa mtaani JF
 
Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1,000,000 mwaka 2021 na wa pili nikalamba shavu take home 3.5m mwaka 2023
 
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
mkuu operator wako wa heavy machine mkuu bado machaka hayaja funguka
 
Msinikumbushe wallah kazi kwa yule mhindi lahaula la kwata maisha haya😅😅😅 sijui niite ilikua kazi au kibarua kile wallah mpaka nikikaa na kuangalia madogo wanavyojichana makuku hawajui baba alitokea wapi
 
Nilianza kazi mwaka 2000 na mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 250,000/- Take home.
 
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Sep 1997 nilipata ajira yangu ya kwanza Tanesco,take home ilikua 75,000/
 
Back
Top Bottom