Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Alfu mbili nilikuwa na mika chini ya 7Nimejikuta nawaza tu....
Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.
Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.