makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Isharudi kaka, namshukuru mungu mzee.Hivi kwanza ile chuma yetu ilisha rudi road??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isharudi kaka, namshukuru mungu mzee.Hivi kwanza ile chuma yetu ilisha rudi road??
[emoji1] [emoji1787] [emoji23]Nimeanza kazi mwaka 1960, niliajiliwa Bodyguard wa Governor nilikuwa nalipwa USD 2000.
Nilikuwa namzidi baba yangu mshahara. Alikuwa ananishangaa sana.
😀😀😀😀nahisi utakuwa na vinasaba vya kizanzibari/kingazija. Huu usemi umenikumbusha marehemu bibi yangu. SIna kazi wala badhi😀😀Mie sina KAZI sina BADHI.
Amina amina kubwaaa kakangu kipenzi asanteni kwa kunikumbuka Mbarikiwe sana!... Msalimie sana wifi yangu na nimewamiss kupita Maelezo.. mwambie asiwe na wasiwasi kabisa God has been so good to me saivi nipo akili imetulia nipi njema sana na ninafuraha isio kifani!Kwanza wifi yako alikua anakuumizia juzi kwamba umetoweka majnun tangu ulipo jeruhiwa...😊
Mie nikamwambia kwamba kwasasa moyo wako ulisha sawajika na umejaa amani tele..☺
Upo sahihi mkuu, na hapa ilifaa sana tulio kosea tutiririke ili wanao fuata wajifunze kupitia sisi........huu uzi ulikuwa ni mzuri kwa kujifanyia tathmini ulipotoka hadi sasa, lakini cha ajabu watu wataleta masihara, utani na ujinga mwingi tu........
Kwanini wasieleweMwaka 1982 salary 810/=TSH
Sijui mmeelewa?
Nilinunua kitanda na godoro mwezi huo huo wa kwanza tu!!!!
TSh 2,173,500 ulisomea Pharmaceutical Science, Mining Engineering au Unahodha?$900 mwaka 1980
Kua bodyguard ulipitia mafunzo yapi?Nimeanza kazi mwaka 1960, niliajiliwa Bodyguard wa Governor nilikuwa nalipwa USD 2000.
Nilikuwa namzidi baba yangu mshahara. Alikuwa ananishangaa sana.
Umri umeenda piaHongera sana mkuu..[emoji1666]
😂🤣😂 sina hata unasaba huo.😂🤣😀😀😀😀nahisi utakuwa na vinasaba vya kizanzibari/kingazija. Huu usemi umenikumbusha marehemu bibi yangu. SIna kazi wala badhi😀😀