Nilianza na mshahara 1.2 million... ndani ya miezi sita nikapiga tukio la zaidi 40 million... nikadakwa nikawekwa ndani.. wakanitoa baada ya siku tatu nikarudishwa kazini... nikafanya miezi mitatu nikaacha kazi mwenyewe.... paka sasa hivi mshahara wangu ni NIL sifuriii