Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Hebu tusemezane: Ulianza kazi mwaka gani na mshahara wako wa kwanza ulikuwa kiasi gani?

Kwanini?
Sijawahi kudanganya
Mwaka 78 niliondoka Tz na kwenda kutafuta maisha

Tuna utofauti sana na nyie
Sisi wengine raha tumeziona tangu udogo
Wala sijisifii ila leo niko London mwaka wa 33

Why should I lie [emoji848]

Huo mshahara ulikuwa ni mashariki ya kati kwenye mafuta na sio Bongo mjukuu wangu
Shikamoo babu ๐Ÿ˜Ž
 
Usijali mkuu hata wewe unaweza kufika ulipoandikiwa
Pambana sana na uwe na malengo utastaafu kwa raha sana

Kama una watoto wekeza kwao sana hata ukiwawekea hela bank kila mwezi tupia choxhote wakifika 18 wanaweza kujilipia Uni kwa hela uliziwawekea

Unajiwekea akiba yao baadae wasihangaike

Mimi kila mwaka naenda kutalii nchi mbili
Hata iwe siku 5 I don't mind
Nasubiri kupanda meli kubwa duniani inayotarajiwa kuanza safari mwakami ni kubwa mara 5 kuliko Titanic

Hapo vipi
hapo sawa mzee,

sema its unpredictable
 
Hahaha watu tunatoka mbaliii nimemaliza chuo sina A wala Z nikapata deal la ubaunsa bar moja maarufu ile bar ilikuwa karibu na home so mwenye bar alikuwa rafiki yangu sana akanipa cheo cha ubaunsa na kuangalia usalama wa bar yake....alinipa kishikaji tu coz hata nyama za ubaunsa sikuwa nazo kwa mwezi nikawa nakula 150000, bia 3 kwa siku na chakula cha jioni coz nilikuwa naingia 1 usiku mpaka saa 7 usiku[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] anyway bia nilikuwa nazibadilisha navuta mpunga
 
Mzee alishakuniambia...sikuhizi Bora mishahara inaeleweka...anasema anashangaa unapata mshahara unaweza kununua hata tv au redio...anasema mshahara wake...alikuwa akipata a
Hawezi hata kununua redio...
Huo ndio uhalisia wa miaka iyo
 
Nimejikuta nawaza tu....

Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.

Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Hii ilikuwa noti ndefu sana kwa wakati huo. Mimi mwaka 2006 nilianza na mshahara wa Tsh 117,000/=. Nakumbuka nilienda kuitoa kwenye ATM za NMB Clocktower kisha nikapitia Jogoo House kujipongeza. Nafika Jogoo House na jamaa yangu tukakaa meza moja na jimama fulani lililoonekana lina mpunga mrefu.. yule mama akaongea kwa dharau "leo Jogoo House imejaa kutokana na hivi viwalimu vimepokea vimishahara vyao vinakuja kusumbua, angalia chini ya meza utaona mifuko ya plastic wamebeba vitu baada ya kupitia soko kuu"..
 
Back
Top Bottom