Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahahahaha,wakati huo wewe una watazama tuMkuu wengi humu ni waongo na wanaogopa kuwa Exposed kwasababu kwenyd Avatar zao wanatumia picha za warembo mitandaoni,hivyo wanaona Aibu wakikutana kwa pamoja na wakifahamiana namna kila mmoja atakavyo mcheka mwenzie namna alivyo mbovu wa sura na umbo!.
Yaniπππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unatutisha?!
HahahahaTo yeye ni mwanamke bwanaβ¦
Tutajua hapo hapo muhimu kwanza tufike πππKwani hujiamini?,wewe si pisi kali?
Me nyingine nabeba na akija kuniandikia uzi namchamba πππNgoja niendelee kufikiria hapa, yani nataka nihakikishe 5m yote namaliza mimiππ
Nimewaambia mni-PM ili mnipe ratiba zenu za kesho ili kama inawezekana nitoe Oda ya Meza hapo kesho lakini naona mpo kimya!,Mnashida gani?Tutajua hapo hapo muhimu kwanza tufike πππ
Mi mkinga nikikwambia mapembelo ujue Lamomy huyo πππNa nyie mliotajwa hebu muondoleeni utata huyo mwenzenu. Mnaonekana ni wanawake kindakindaki, mpaka maandiko yenu yanashadidia kuwa nyie ni wanawake, kwa kuongeza mimi nyie ni wanawake warembo pisi kali. Nawaona mnavyogongeana mikono mkihimizana muwahi kwa huyo jamaa mkalewe, na mi ntakuwepo huko mlikoalikwa kukutana niwaone mkipigishwa bia na huyo jamaa ila mtanichanganya sitajua leejay, cocastic, demi na hao wengine ni yupi. Tuendeleeni kurefusha uzi huu wakuu wangu
HhahhaπππMe nyingine nabeba na akija kuniandikia uzi namchamba πππ
π€£π€£ Naunga mkono hoja ππJF majinni ndiyo wengi, 90%.
Ila pm unapapenda πππNimewaambia mni-PM ili mnipe ratiba zenu za kesho ili kama inawezekana nitoe Oda ya Meza hapo kesho lakini naona mpo kimya!,Mnashida gani?
Wee sema kweli π³π³JF majinni ndiyo wengi, 90%.
Mkuu popoma kaja hapo umemuona baadae kidogo anakuja na ile id yake ya mwaka 2013Nimewaambia mni-PM ili mnipe ratiba zenu za kesho ili kama inawezekana nitoe Oda ya Meza hapo kesho lakini naona mpo kimya!,Mnashida gani?
I love you
Boss ana vitisho balaa πππYaniπππ
Nimeliona mkuu!π€£Mkuu popoma kaja hapo umemuona baadae kidogo anakuja na ile id yake ya mwaka 2013
Hapa ndo niko nawaza, tukivaa suruali tutaambiwa wakiume sijui hata tuvae nini yaniπBoss ana vitisho balaa πππ
Jirani kesho tunavaaje kwanza ili tusiambiwe hatujui hata kuvaa!!!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nimeliona mkuu!π€£