Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Mkuu wengi humu ni waongo na wanaogopa kuwa Exposed kwasababu kwenyd Avatar zao wanatumia picha za warembo mitandaoni,hivyo wanaona Aibu wakikutana kwa pamoja na wakifahamiana namna kila mmoja atakavyo mcheka mwenzie namna alivyo mbovu wa sura na umbo!.
Hahahahahahaha,wakati huo wewe una watazama tu
 
Na nyie mliotajwa hebu muondoleeni utata huyo mwenzenu. Mnaonekana ni wanawake kindakindaki, mpaka maandiko yenu yanashadidia kuwa nyie ni wanawake, kwa kuongeza mimi nyie ni wanawake warembo pisi kali. Nawaona mnavyogongeana mikono mkihimizana muwahi kwa huyo jamaa mkalewe, na mi ntakuwepo huko mlikoalikwa kukutana niwaone mkipigishwa bia na huyo jamaa ila mtanichanganya sitajua leejay, cocastic, demi na hao wengine ni yupi. Tuendeleeni kurefusha uzi huu wakuu wangu
Mi mkinga nikikwambia mapembelo ujue Lamomy huyo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom