Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Punguza kidogo mwanaumeHatimaye my Crush ameni-quote... ila Aaliyyah si umenipenda hivihivi? π€
Siku si utanichamba wewe nikikukera utanitukana πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kidogo mwanaumeHatimaye my Crush ameni-quote... ila Aaliyyah si umenipenda hivihivi? π€
Kaka unakumbuka mchana nilikwambia ukweli π€£π€£π€£Hao nilowatag kila mmoja kaingia mitini,no pm,no contacts!,na wewe ndo walewale mademu wa JF,Juu umetuna kama umepigwa jeki halafu chini ni Mswaki!
Ooh sawaAnauza kwa wanaochukua jumla
Ngoja nikupe siri, wewe tatizo lako kila siku unapenda mtu mpya. Sasa lazima wawe wanakukwepa maana wanajua haupo serious unataka kula na kusepa.shughuli nyingine hii
Mkuu nikomae na mademu ambao nimewapa offer ya Lunch wamegoma kutokea?Sasa unataka iwe rahisi tu? Wao wanajua wewe haupo serious, ndio maana nasema komaa wanakuja vizuri tu.
Nikiona hii pjc nacheka tu[emoji23]Boss tulia nguo hizo, sema kesho saa ngapi tuonane?!! Kila kitu weka hapa ili ikitokea lolote wana jf wajue wanaanzia wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£Mkuu nikomae na mademu ambao nimewapa offer ya Lunch wamegoma kutokea?
Nikomae nao wa nini?,au ulidhani nawataka kimapenzi?,Kama lunch wameingia mitini unadhani ningewataka kimapenzi wangethubutu kutokea?,Wengi ni wazee,sura zimechoka,hawana nuru,wakienda kama wanarudi!,Ndiyo maana hawataki kabisa kuonekana live,wao huwa ni ma-Keybord warriors!
Acha mbwembwe wewe!Boss tulia nguo hizo, sema kesho saa ngapi tuonane?!! Kila kitu weka hapa ili ikitokea lolote wana jf wajue wanaanzia wapi? πππ
Mkuu yote yameingia mitiniπ€£π€£π€£Kaka unakumbuka mchana nilikwambia ukweli π€£π€£π€£
Kabisa mkuu nimeaminiπ€£Huyo ni popoma kaka π€£
Subiri aje atakuchamba ukimbie hapa πππKuna yule anajiitaga Yuniki flawa yule atakuja chap π
Mkuu hiyo hiyo lunch lazima wawe assured kama upo serious na sio unatania. mfano kesho muda ukafika na wakaenda hapo mliman city alafu usitokee?Mkuu nikomae na mademu ambao nimewapa offer ya Lunch wamegoma kutokea?
Nikomae nao wa nini?,au ulidhani nawataka kimapenzi?,Kama lunch wameingia mitini unadhani ningewataka kimapenzi wangethubutu kutokea?,Wengi ni wazee,sura zimechoka,hawana nuru,wakienda kama wanarudi!,Ndiyo maana hawataki kabisa kuonekana live,wao huwa ni ma-Keybord warriors!
ππππ sawa tajiriAcha mbwembwe wewe!
Mshaingia mitini kasenyeni kuni kesho mpige marando(Matambele)
π€£π€£Kabisa mkuu nimeaminiπ€£
Nimeacha matusi na hizo tabia za kujibizana rasmi leo asubuhi!... naomba unichunguzePunguza kidogo mwanaume
Siku si utanichamba wewe nikikukera utanitukana πππ
Depal Umepitia hapa kusoma huu ugomvi?π€£Mimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi humu Jf.
Kumekuwa na utaratibu siku hizi humu Jf hata wanaume kutumia Id za kike,sijajua lengo la wao kufanya hivyo ni kitu gani!
Kwakuwa uongo na utapeli hapa Jf umekuwa wa kutosha,naomba kesho niwatoe wafuatao "OUT" ili kujiridhisha kweli kama ni KE na wala siyo ME.
MALENGO
Malengo ya Kutoka Out ni Kufahamiana,Kubadirishana Mawazo na Ku-Enjoy kwa pamoja kama wanafamilia wa JF.
Kwakua watumiaji wengi wanaotiliwa mashaka ni wanaotumia Id zenye majina ya KE,naomba wafuatao ikiwapendeza kesho tutoke wote kama Familia ili niamini kweli ni KE.
1. Jemima Mrembo
2. cocastic
3. MZURI SANA
4. Lamomy
5. Demi
6. To yeye
7. Leejay49
8. Carleen
9. recho Jr
10. Hornet
Kama nilivyosema,lengo ni kufahamiana,kubadirishana mawazo na Ku-have funny!
ENEO
Eneo ambalo kwangu nahisi litakuwa Karibu na nililolizoea ni pale Mlimani City Samaki- Samaki,Ila nyie mnaweza pia mkapendekeza eneo ambalo mtakuwa mnaona mko- Comfortable kuenjoy.
Nimependekeza hao wanawake kwa siku ya Kesho kwasababu gharama za kuwamudu ninazo,watakula watakacho na kunywa watakacho!.
Nia na Lengo ni kuondoa huu utata wa kudhani nyie ni madume,naombeni mnidhitishie kwa vitendo hiyo Kesho.
Wengi wenu nafahamu mnao usafiri wenu binafsi lakini itakuwa vema kila mmoja akatumia Uber au Bolt ili tuweze kuwa Comfortable zaidi(Ili wasiokuwa na usafiri wasijisikie vibaya).
Fedha ya Usafiri nitalipia mimi,wala msijali!
Naomba kufahamu ratiba zenu nyote niliowatag ili nijue nafanyaje,nitakapojua ratiba zenu nitapanga muda sahihi wa sisi kukutana pale!.
Lengo si kutongozana wala mambo ya Ajabu,Lengo ni kufahamiana tu!.
Nawasilisha!
ππππ hatareee!!Mkuu yote yameingia mitiniπ€£π€£π€£
Na ndiyo maana nilitaka wani-pm mapema ili tupange kwa pamoja muda wa kutoka kama ikiwezekana niwapitie ambao ningeweza na gari yangu halafu wengine wangekuja na Uber/Bolt,sasa unategemea mimi hapo ulitaka niwamainishe vipi bila kuzungumza nao?Mkuu hiyo hiyo lunch lazima wawe assured kama upo serious na sio unatania. mfano kesho muda ukafika na wakaenda hapo mliman city alafu usitokee?
Ndio maana nasema komaa alafu wahakikishie upo serious, nakuambia ukweli wanakuja vizuri tu lamomy hadi nguo ameshaandaa, tatizo ni hana uhakika kama upo serious kweli
Ukute wizo bichwa komwe anatuigizia hapa πππππMkuu hiyo hiyo lunch lazima wawe assured kama upo serious na sio unatania. mfano kesho muda ukafika na wakaenda hapo mliman city alafu usitokee?
Ndio maana nasema komaa alafu wahakikishie upo serious, nakuambia ukweli wanakuja vizuri tu lamomy hadi nguo ameshaandaa, tatizo ni hana uhakika kama upo serious kweli