Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππHao nilowatag kila mmoja kaingia mitini,no pm,no contacts!,na wewe ndo walewale mademu wa JF,Juu umetuna kama umepigwa jeki halafu chini ni Mswaki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππHao nilowatag kila mmoja kaingia mitini,no pm,no contacts!,na wewe ndo walewale mademu wa JF,Juu umetuna kama umepigwa jeki halafu chini ni Mswaki!
Unajua tatizo hadi leo hujasema unampenda nan? Hapa ndio tatizo lilipo.anipe ramani na mimi nataka niimbishe
Na me nimeona πππMuhudumu sijui kachanganya na nini π€£π€£π€£π€£
Mkuu kwa lamomy nakukatalia, ni mzuri wa sura na umbo lipo vizuri sana. Hao wengine sijui sijawahi kuona hata picha zaoHamuwezi kutokea kwasababu mnajijua nyote ni wabovu wa sura mpaka maumbo!
Hata kama ni offer lazima kidogo ukaze ili wajue upo serious, maana wanaweza muleta details alafu haupo serious. ndio maana nasema wewe kaza wanakuja vizuri tuMkuu sihitaji kukaza,hii ni Offer niliwapa!
Akiendelea hv nadhani nitafungua uziNa me nimeona πππ
Kivumbi leo
[emoji23][emoji23][emoji23]Hao wanaotutilia shaka waambie na sie tunawatilia mashaka vile vile [emoji23][emoji23][emoji23]
Ok but wote wameingia mitini!Mkuu kwa lamomy nakukatalia, ni mzuri wa sura na umbo lipo vizuri sana. Hao wengine sijui sijawahi kuona hata picha zao
πππ sema haki ya Mungu!!Mkuu kwa lamomy nakukatalia, ni mzuri wa sura na umbo lipo vizuri sana. Hao wengine sijui sijawahi kuona hata picha zao
Acha uoga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pm ukizama kesho mapema unafungua jukwaa dadeq
Basi tena nn? Ulikua na mpango nae gani?dah, basi tena
Mkuu kwahiyo unadhani mimi ni vibaka wa Dar?,You people u'r not Serious!Hata kama ni offer lazima kidogo ukaze ili wajue upo serious, maana wanaweza muleta details alafu haupo serious. ndio maana nasema wewe kaza wanakuja vizuri tu
Sasa unataka iwe rahisi tu? Wao wanajua wewe haupo serious, ndio maana nasema komaa wanakuja vizuri tu.Ok but wote wameingia mitini!
Boss tulia nguo hizo, sema kesho saa ngapi tuonane?!! Kila kitu weka hapa ili ikitokea lolote wana jf wajue wanaanzia wapi? πππOk but wote wameingia mitini!
Mmmh[emoji23][emoji23][emoji23] sema haki ya Mungu!!
Mwanaume mbabaifu wewe!! Zile pic kule pm ni kinani wale? [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
ππππ tatizo pm yangu ina shida mod wameipa banAcha uoga[emoji23]
Ndio maana wanataka uhakikishe upp serious na ulio ahidi utayafanya.Mkuu kwahiyo unadhani mimi ni vibaka wa Dar?,You people u'r not Serious!
shughuli nyingine hiiUnajua tatizo hadi leo hujasema unampenda nan? Hapa ndio tatizo lilipo.
Kwani ukisema unampenda flani ni dhambi?
Hausahau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo pm yangu ina shida mod wameipa ban
πππππAkiendelea hv nadhani nitafungua uzi