Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Pesa za kula na kunywa chochote umetoa wapi Kama wew siyo mla rushwa na fisadi

'in American there is no free lunch '
How came wew unawatoa watu wote free lunch ili ujue jinsia zao ?

Wahusika msijitokeze asilani
 
Mkuu hawa watu wanafurahisha sana,tangu asubuhi nimewaambia wani-pm ili tuweze kupanga ratiba ya kila mmoja kwa ajili ya kuonana kesho,Huwezi amini wanakijomentisha hapa lakini hakuna hata mmoja aliyekja Pm,hapa ndipo ninapopata mashaka!.

Sielewi kwanini wanajishitukia!
Hao bila kukomaa hawaji, ww komaa shikilia hapo hapo. Ukikaza wanakuja vizuri tu
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ khaaaaaaa!!
Mbona hataree hapo bado hujatuona shombo km zote!! Ukituona humu patatosha kweli??
Hamuwezi kutokea kwasababu mnajijua nyote ni wabovu wa sura mpaka maumbo!
 
Nilichokinoti ni kwamba Mademu wa humu wengi ni wabovu,mmechoka,mmechakaa,nyuso zimewafubaa na miili yenu imetofautina kama miarobaini,hamna mivuto!.

Haiwezekani nitoe offer halafu kila mmoja kaingia mitini!

Kila mmoja anabaki kujichekesha chekesha hapa kwa kutumia Emojis ili kujipa moyo!.

Sasa kama mtaikosa offer kutoka kwa mtu makini kama mimi mtaipata wapi? Au mlishazoea kwenda kujazana Kitambaa cheupe kwa vibaka?

Shame on you!
Bro kamatia hapo hapo, soon utaona wanakuja pm. Bila kukomaa kama hivyo ni wasumbufu sana
 
Namba unapewa tulia mbona mipasho tena!! Au upo kumalija unakunywa visungura boss? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sungura tangu lini akanywewa?,au mi ndo mshamba?

Sihitaji namba zako kwasababu haziwezi nisaidia chochote!,Mi ndo nilitaka niwasaidie nyie ambao watu wanawatilia shaka hapa JF.
 
Sungura tangu lini akanywewa?,au mi ndo mshamba?

Sihitaji namba zako kwasababu haziwezi nisaidia chochote!,Mi ndo nilitaka niwasaidie nyie ambao watu wanawatilia shaka hapa JF.
Hao wanaotutilia shaka waambie na sie tunawatilia mashaka vile vile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hao nilowatag kila mmoja kaingia mitini,no pm,no contacts!,na wewe ndo walewale mademu wa JF,Juu umetuna kama umepigwa jeki halafu chini ni Mswaki!
Ukikomaa kama hivi, Nina uhakika Hadi kufikiakesho saa 4 asubuhi watakuwa wamekuja kukupa details mkuu
 
Back
Top Bottom