Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Sasa unataka iwe rahisi tu? Wao wanajua wewe haupo serious, ndio maana nasema komaa wanakuja vizuri tu.
Mkuu nikomae na mademu ambao nimewapa offer ya Lunch wamegoma kutokea?

Nikomae nao wa nini?,au ulidhani nawataka kimapenzi?,Kama lunch wameingia mitini unadhani ningewataka kimapenzi wangethubutu kutokea?,Wengi ni wazee,sura zimechoka,hawana nuru,wakienda kama wanarudi!,Ndiyo maana hawataki kabisa kuonekana live,wao huwa ni ma-Keybord warriors!
 
🀣🀣
 
Mkuu hiyo hiyo lunch lazima wawe assured kama upo serious na sio unatania. mfano kesho muda ukafika na wakaenda hapo mliman city alafu usitokee?

Ndio maana nasema komaa alafu wahakikishie upo serious, nakuambia ukweli wanakuja vizuri tu lamomy hadi nguo ameshaandaa, tatizo ni hana uhakika kama upo serious kweli
 
Depal Umepitia hapa kusoma huu ugomvi?🀣
 
Na ndiyo maana nilitaka wani-pm mapema ili tupange kwa pamoja muda wa kutoka kama ikiwezekana niwapitie ambao ningeweza na gari yangu halafu wengine wangekuja na Uber/Bolt,sasa unategemea mimi hapo ulitaka niwamainishe vipi bila kuzungumza nao?
 
Ukute wizo bichwa komwe anatuigizia hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…