Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mm binafsi nataka sana kesho muende mliman city, najua utanibebea kitu napendaPm hatuji na namba hatuweki hapa, wewe mwenye shida ya kujua umiliki wetu wa kende au kissme ndio uweke namba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo ndio mambo Sasa[emoji23][emoji23]Wewe ulivyotukana ulikuwa unaona burudani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya pole boss yaishe kesho saa 7 mchana tukutane samaki samaki [emoji6]
Umetulia unafatilia kimya kimya πππUmemzingua kijana wa watu mpaka ameingia woga kwa hofu ya kukandwa na dume la mbegu πππππππ
Si ndio kakubali kesho muonane? Mbona tena unataka kuharibu?Offer si kwa ajili ya madume.
Itashangaza kwa dume zima anayetaka kupewa offer na mwanaume mwenzie,itakuwa ajabu sana!
acha tu bro,Dogo sikia nikupe mbinu, usijifiche kwa umpendaye maana atajua pengine unaogopa sababu unao wengi. Mm si umeona hadi profile pic nimemuweka sana lamomy.
Sasa wewe umpendaye unamficha vipi? Na kama yeye hataki.umuweke wazi basi jua hakupendi na kuna watu wake wengi humu.
Mtaje mara nyingi uwezavyo yule umpendaye.
Hata hapa ikiwezekana mtag kabisa.
Kesho yote mbali aseme ss hivi yuko wapi niende akaangalie km dada au kaka ππππUnalalaje bila kujua kama.kesho mtoko upo[emoji23][emoji23]
π€£Lamomy apigwe na mbu? Awaze mchana anakula nn? Mkuu acha utani basi
Hiyo BMW uliyonayo ni model ipi ili nikueleze yeye ana aina gani, alafu upime mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo kesho huendi?Hapo utajichosha hun, huyo mvuvi haramu [emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo tujifungie tufanye mchezo mbaya
JF burdaani kabisa. Fukuzia offer hiyo mkuuUmetulia unafatilia kimya kimya πππ
Huyo ana mawenge tatizo, katoa offer ila namba anaogopa kuweka anataka twende pm kufanya nini?
Wewe tena chawa wangu ππππLamomy apigwe na mbu? Awaze mchana anakula nn? Mkuu acha utani basi
Hiyo BMW uliyonayo ni model ipi ili nikueleze yeye ana aina gani, alafu upime mwenyewe.
Umeona sasa, kwenye mashaka hana mashaka. Ambapo hakuna mashaka ndio anaweka mashaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizo analinda ndoa
Na sijui kwann kwenye list hayupo?
Hapo nimekuelewa mkuu,sikujua kumbe huyo jamaa alikuwa anaongelea hivo!π€£Ni vile vipombe gongo la kisasa smart gin vinapicha ya sungura mjanja.
Bora nishinde nakupa mpk ukose nguvu upungue kilo kuliko kujichosha na mzee wa visungura πππ[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo kesho huendi?
π€£Umetulia unafatilia kimya kimya πππ
Huyo ana mawenge tatizo, katoa offer ila namba anaogopa kuweka anataka twende pm kufanya nini?
Kijana hebu lala bana ili J'tatu ifike uanze kugombania daladala!Lamomy apigwe na mbu? Awaze mchana anakula nn? Mkuu acha utani basi
Hiyo BMW uliyonayo ni model ipi ili nikueleze yeye ana aina gani, alafu upime mwenyewe.
Anakuchosha tyuu! Anavijua vizuri ndio kinywaji chake pendwa huyo boss πππNi vile vipombe gongo la kisasa smart gin vinapicha ya sungura mjanja.
Tatizo dogo muoga sana, leo nataka awe serious aseme ni yupi[emoji23][emoji23]We mbona umemkomalia mshamba vipi?
Mwenyewe alishasema anampenda Miss eyes
Au kuna mtu unataka kumpa?
Kwanza muache shem wangu asije kupewa yutiai sugu bure na ngwengwe [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Umetulia unafatilia kimya kimya [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ana mawenge tatizo, katoa offer ila namba anaogopa kuweka anataka twende pm kufanya nini?
Makubwa kantry anagombania daladala ππππKijana hebu lala bana ili J'tatu ifike uanze kugombania daladala!
Popoma na Ma-gay wenzie!π€£Id ya popoma nyingine hiyo