Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Pm hatuji na namba hatuweki hapa, wewe mwenye shida ya kujua umiliki wetu wa kende au kissme ndio uweke namba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm binafsi nataka sana kesho muende mliman city, najua utanibebea kitu napenda
 
Dogo sikia nikupe mbinu, usijifiche kwa umpendaye maana atajua pengine unaogopa sababu unao wengi. Mm si umeona hadi profile pic nimemuweka sana lamomy.

Sasa wewe umpendaye unamficha vipi? Na kama yeye hataki.umuweke wazi basi jua hakupendi na kuna watu wake wengi humu.

Mtaje mara nyingi uwezavyo yule umpendaye.

Hata hapa ikiwezekana mtag kabisa.
acha tu bro,

hebu tuishie hapa kwa leo
 
Lamomy apigwe na mbu? Awaze mchana anakula nn? Mkuu acha utani basi

Hiyo BMW uliyonayo ni model ipi ili nikueleze yeye ana aina gani, alafu upime mwenyewe.
Kijana hebu lala bana ili J'tatu ifike uanze kugombania daladala!
 
We mbona umemkomalia mshamba vipi?
Mwenyewe alishasema anampenda Miss eyes
Au kuna mtu unataka kumpa?
Kwanza muache shem wangu asije kupewa yutiai sugu bure na ngwengwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo dogo muoga sana, leo nataka awe serious aseme ni yupi[emoji23][emoji23]

Mara ms eyes, mara joana, mara wizo, mara to yeye, Mara faiza, mara antonnia. Dogo haeleweki kabisa, yaani anataka yoyote mradi awe anapumua tu.

Leo Nampa chance amtaje, mm nitasaidia upande wa kuwezesha. Wewe kupiga debe( hii angle upo vizuri sana hujawahi kufeli)
 
Back
Top Bottom