Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Akikwambia namtaka lamomy utamsaidia kupiga debe? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bora nishinde nakupa mpk ukose nguvu upungue kilo kuliko kujichosha na mzee wa visungura [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] alafu huyu si ndio huwa unamkubaligi sana? Leo kajichanganya wapi[emoji23][emoji23]
 
Kijana hebu lala bana ili J'tatu ifike uanze kugombania daladala!
Mm daladala kweli nagombania na kuna muda natembea kwa miguu mdogo mdogo, Wala sio utani.

Ila kwa lamomy umebugi, huyo ni next level
 
Tukana acha kutumia id mbili kwa wakati mmoja, ko ulitaka tuonane ukajua sie wenzio wa rangi rangi za kuwaka? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huo muda wa kuwa na Multiple Id naupata wapi?

Nyie msikuwa na kazi za kufanya ndo shughuli yenu!
 
Achana nao hao zote ni id za popoma izo ana id 500 humu zote izo anachat mwenyew jana nilimpasua hadi akalambwa banned kwenye id yake moja hiv
Huo muda wa kuwa na Multiple Id naupata wapi?

Nyie msikuwa na kazi za kufanya ndo shughuli yenu!
 
Akikwambia namtaka lamomy utamsaidia kupiga debe? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe anasema ni dada yake na shem wake, ndio maana hanaga noma. Huyo au tumuweke.kwa cocastic[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…