Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mpotezee, atakuletea ban huyoMataco yamekuwasha umedanga umepata bwana haya kampe yotreee kigambonino [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataja had unakopatikana msiba mzito aiseee!!!
T ushaona uliokuwa unawatafuta wamejileta live
Shauri yako!,We mfuatiashe hilo shambenga la mjini ushindwe kuyaanda maisha yako na maisha ya wazazi wako!Mm sina issue yoyote mkuu, hapa nilipo hata pa kulala tabu. Bora muda uende tu kukuche
Naunga mkono hoja ππShauri yako!,We mfuatiashe hilo shambenga la mjini ushindwe kuyaanda maisha yako na maisha ya wazazi wako!
Nakushauri kama kijana mwenzio na mmoja wa vijana waliofanikiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23] jf raha sana.Shauri yako!,We mfuatiashe hilo shambenga la mjini ushindwe kuyaanda maisha yako na maisha ya wazazi wako!
Nakushauri kama kijana mwenzio na mmoja wa vijana waliofanikiwa!
Mpotezee huyo, anatafuta kweli upigwe ban. Mpotezee pleaseNimekuchana nimemaliza leo nimejua na wewe ni kundi moja na kina delicious
Sina mpango na wewe tena kidampa!!
Wanaume marijali washakujua na unakopatikana washapajua umewapa maelekezo subiri wateja wamiminike sawa anti chale!!!
Tchao
Kama huna kazi sema nikupe koneksheni ya kazi mkuu,uanaume ni kusaidia na wala si kutukanana![emoji23][emoji23][emoji23] jf raha sana.
Mkuu mm pesa ya kula tu tabu, sasa nawezaje kujenga. hebu na ww nishauri basi
Au kuna nyumba ya buku?
Mm kazi sihitaji nimeridhika hivi hivi. Mm nabet tu, Kama una odds za uhakika nipe mkuuKama huna kazi sema nikupe koneksheni ya kazi mkuu,uanaume ni kusaidia na wala si kutukanana!
Mkuu basi unadhani huwa nina hila na vijana? najua ni ukosefu wa pesa ndo unayaleta yote haya!Kaka wapige bloku hao usiwajibu mashoga moderator wwatawashugulikia soon
List ni ndefu πππLgbtq?? Cocastic alete list nyingine[emoji23]
Mkuu mimi pia huwa ni mpenzi wa kubeti ila huwa naweka high stake na nakula sometimes naliwa but lazima uwe n shughuli ya kufanya!Mm kazi sihitaji nimeridhika hivi hivi. Mm nabet tu, Kama una odds za uhakika nipe mkuu
Nina jero hapa mfukoni haina kazi
Wengine vijijini kwetu ndo kumekucha tunabeba majembe tukalimeWanawake wenye wanaume na wenye akili timamu wamelala,ila kuna wewe sasa!
Ok nikutakie kilimo chemaWengine vijijini kwetu ndo kumekucha tunabeba majembe tukalime
Mwanaume muongo wewe πππMm sina issue yoyote mkuu, hapa nilipo hata pa kulala tabu. Bora muda uende tu kukuche
Asante ππOk nikutakie kilimo chema
Mpe kazi apate pesa tulee watoto ππKama huna kazi sema nikupe koneksheni ya kazi mkuu,uanaume ni kusaidia na wala si kutukanana!
Huyo banned anayo soonOk nikutakie kilimo chema
Wewe na yeye ni mke na Mume?Mpe kazi apate pesa tulee watoto ππ
Kitambo tuna watoto wawili, mpe kazi jua kali πWewe na yeye ni mke na Mume?
Ok Ndo maana hata akili zenu zifanana,Hongereni!Kitambo tuna watoto wawili, mpe kazi jua kali π
Ok Ndo maana hata akili zenu zifanana,Hongereni!