Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ya Saloon haipo kwenye bajeti ya Kesho!Shemeji tutumie pesa za saloon kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia PM unipe ratiba yakoBoss tunakuja ilo limeisha [emoji23][emoji23][emoji23]
We cheka tu ila msipotekea kesho nawaandikieni uzi hapa!Oyoooooo!! Kesho tuna uhakika wa kulewa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hicho kitakuwa ni kikao cha akina baba, maana hao uliowatag wote wanatumia tu ID za kike.
Nani kakwambia humu kuna wanawake!? humu kuna wanaotumia ID za kike.
"Na aione kwenye nakala hii komenti yako,,si dhambi na wala si vibaya akalifanyia kazi pia!!"Tunaenda atume pesa za saloon kwanza [emoji23][emoji23]
Kwahiyo hata wewe unatumia ID ya kike?
Mkuu mimi nina maswali ya ki - Qustionare,lazima nitajua na watakaokuwepo watafamu tu!
Halafu wakija km kuna ingine imekuja ni ya kike kweli na ni pisi kali hapo unahakikisha unakula mbususu kabisa.
Naona analeta usiku😂😂😂.Safi sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kwa hiyo hao niliwatag ni Wabunge na Mawaziri?
Kwani hiyo list ina mwanaume? Mbn mnawafananisha warembo na MIDUME ?
Yaani nikaache Kazi zangu na familia yangu Ili nikaprove kwa mtu kwamba mie ni mwanamke?!!!
[emoji3] wengn wasagaji hpo kwa uliowataja
Mkuu lengo la JF ni kufahamiana!
Kwani hapa JF inakuongezea Value gani?,sana sana unatumia bando kufuatilia mambo ya kijinga naya kipumbavu!.
lakini kuonana na watu ambao kila siku mnachati Jf itakuongezea kitu na hutobaki kama ulivyo!,Utapata Exposure na kukutana na watu wapya!.
Wewe sema huwezi kuja kwasababu
1.Dume
2.Umechoka
3.Umechakaa
4.Umedhohofika
5.Mbaya wa sura na Umbo
haya mambo ni hakika ndiyo yatafanya usitokee!.
Mwanamke mzuri na anayejiamini ataachaje mtoko wa kukutana na Marafiki wapya?
Hata huyo ni meMkuu, mbona hao wote ulio wataja ni Me..🤔
Hapo cocastic ndi ninauhakika ni Ke...😜
anasema kaandaa 12m, naona tukakeshe kabisa [emoji23]
Nikitoka kwenye jumuiya tu nakustua,, yani tuwe wa kwanza kufika eneo la tukio [emoji2]