Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Mkuu wengi humu ni waongo na wanaogopa kuwa Exposed kwasababu kwenyd Avatar zao wanatumia picha za warembo mitandaoni,hivyo wanaona Aibu wakikutana kwa pamoja na wakifahamiana namna kila mmoja atakavyo mcheka mwenzie namna alivyo mbovu wa sura na umbo!.

Boss mbona unaanza kutuwekea hofu tuogopane wenyewe kwa wenyewe? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona analeta usiku[emoji23][emoji23][emoji23].

Nimeshindwa kuelewa jibu lake, nitofautishe nini sasa[emoji23][emoji706]?

Achana naye asikuchoshe, humu hakuna wa kuthibitisha jinsia ya mwenzie wote tunatumia fake id [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu ambaye nina uhakika na jinsia yake Mello tu!! Wengine wajishikilie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wengine mawaziri hao wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume.

Wewe JF fata mada, usifate fulani.

Akili kubwa huongelea maendeleo.

Akili za kawaida huongelea matukio.

Akili mbovu huongelea watu.
Naunga mkono hoja 👍👏 faiza foxy
 
Back
Top Bottom