Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23] wabadilishe location aisee, kila siku hapo tu[emoji23][emoji23][emoji23] Ndio sehemu nzuri ya kuonana na kubadilishana yutiai sugu na kupeana sate sauzandi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] wabadilishe location aisee, kila siku hapo tu[emoji23][emoji23][emoji23] Ndio sehemu nzuri ya kuonana na kubadilishana yutiai sugu na kupeana sate sauzandi
Niletee 5M nijiajiriii,Achana na huyo, antonnia ameniambia una graduate. Nikupatie nn kama zawadi?
[emoji23][emoji23] sema umechangia ile thread kufungwa, ulikua unasepa na kijiji kila siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 30k, afu mkewe hampii hata senti.[emoji23][emoji23][emoji23] Ndio sehemu nzuri ya kuonana na kubadilishana yutiai sugu na kupeana sate sauzandi
😂😂Dada hutaki mtoko? [emoji23]
Kumbe unataka ngoja nitakutag....nahisi kuna mahali tutautumia shogaangu
Mm mwenyewe gari sina[emoji23], naua winga na miguu Tz 11Gari [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23] wabadilishe location aisee, kila siku hapo tu
Huyo dada nae anaendaje kukutana na stranger kirahisi hivyo?Sema wanaume wa jf ht akiwa dada wa watu alikuwa mzuri basi tu atamsema vibaya mradi amchafulie jina
Si ndyo hapo sijui yupo desperateHuyo dada nae anaendaje kukutana na stranger kirahisi hivyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 30k, afu mkewe hampii hata senti.
Mm mwenyewe gari sina[emoji23], naua winga na miguu Tz 11
Mkipewa pesa mnaenda kununua iPhone. Tena ww una usongo sana na hii iliyotoka iPhone 15Niletee 5M nijiajiriii,
[emoji120][emoji120]
mwanafunzi wangu,Mwalimu wangu Carleen imekuaje yamekukuta haya mambo?!!
I think it's about time to quit JF now or go for a retreat.
[emoji23][emoji23][emoji23] ulikua unachocheaAkuuu me sijawapa watu sate wala yutiai sasa nahusika vipi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu emu tuachane nayo hayo yashapita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huo siyo mtoko kaka yangu, huo ni mchongo..!!
Wapeleke mbweni[emoji23]Waje gomz huku au sio? [emoji23][emoji23][emoji23]
Unahangaika.....unafananiaha jf na Facebook???? Waache shughuli zao wamfuate mwehu mmoja ambae hajielewa???Mimi na salamu ni vitu viwili tofauti,salamu zimefanya waafrika wengi wamekuwa masikini!
Hebu nyie mademu wa hapa Jf naomba mniondolee huu utata(Mkanganyiko) ambao unaendelea kunitia wasiwasi humu Jf.
Kumekuwa na utaratibu siku hizi humu Jf hata wanaume kutumia Id za kike,sijajua lengo la wao kufanya hivyo ni kitu gani!
Kwakuwa uongo na utapeli hapa Jf umekuwa wa kutosha,naomba kesho niwatoe wafuatao "OUT" ili kujiridhisha kweli kama ni KE na wala siyo ME.
MALENGO
Malengo ya Kutoka Out ni Kufahamiana,Kubadirishana Mawazo na Ku-Enjoy kwa pamoja kama wanafamilia wa JF.
Kwakua watumiaji wengi wanaotiliwa mashaka ni wanaotumia Id zenye majina ya KE,naomba wafuatao ikiwapendeza kesho tutoke wote kama Familia ili niamini kweli ni KE.
1. Jemima Mrembo
2. cocastic
3. MZURI SANA
4. Lamomy
5. Demi
6. To yeye
7. Leejay49
8. Carleen
9. recho Jr
10. Hornet
Kama nilivyosema,lengo ni kufahamiana,kubadirishana mawazo na Ku-have funny!
ENEO
Eneo ambalo kwangu nahisi litakuwa Karibu na nililolizoea ni pale Mlimani City Samaki- Samaki,Ila nyie mnaweza pia mkapendekeza eneo ambalo mtakuwa mnaona mko- Comfortable kuenjoy.
Nimependekeza hao wanawake kwa siku ya Kesho kwasababu gharama za kuwamudu ninazo,watakula watakacho na kunywa watakacho!.
Nia na Lengo ni kuondoa huu utata wa kudhani nyie ni madume,naombeni mnidhitishie kwa vitendo hiyo Kesho.
Wengi wenu nafahamu mnao usafiri wenu binafsi lakini itakuwa vema kila mmoja akatumia Uber au Bolt ili tuweze kuwa Comfortable zaidi(Ili wasiokuwa na usafiri wasijisikie vibaya).
Fedha ya Usafiri nitalipia mimi,wala msijali!
Naomba kufahamu ratiba zenu nyote niliowatag ili nijue nafanyaje,nitakapojua ratiba zenu nitapanga muda sahihi wa sisi kukutana pale!.
Lengo si kutongozana wala mambo ya Ajabu,Lengo ni kufahamiana tu!.
Nawasilisha!