Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Nimekwambia ni-pm ili nijue ratiba yako!

Kuni-pm maana yake utaweka na namba ya simu ili iwe rahisi kupigiwa simu,pia kufahamu tunaonana saa ngapi!

Mbona Imekuwa ngumu kunielewa?
Khaaaaa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo chacha jamani mwenye namba karibu aniazime basi
 
Usikubali bro mpaka aje huyo, shikilia hapo hapo. Asikutanie
Mkuu hawa watu wanafurahisha sana,tangu asubuhi nimewaambia wani-pm ili tuweze kupanga ratiba ya kila mmoja kwa ajili ya kuonana kesho,Huwezi amini wanakijomentisha hapa lakini hakuna hata mmoja aliyekja Pm,hapa ndipo ninapopata mashaka!.

Sielewi kwanini wanajishitukia!
 
Mueleze Huyo mumeo kila mwanamke atakayekuja,Atakula na kunywa chochote atakacho na kupewa Cash Tsh 200,0000/=

Unajua hii JF kuna watu wanadharau sana,nataka mtakaokuja muwasimulie mashosti zenu mashambenga wa humu JF!
Asa si uniongeze n Mimi niwe kweny listπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Khaaaaa!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo chacha jamani mwenye namba karibu aniazime basi
Nilichokinoti ni kwamba Mademu wa humu wengi ni wabovu,mmechoka,mmechakaa,nyuso zimewafubaa na miili yenu imetofautina kama miarobaini,hamna mivuto!.

Haiwezekani nitoe offer halafu kila mmoja kaingia mitini!

Kila mmoja anabaki kujichekesha chekesha hapa kwa kutumia Emojis ili kujipa moyo!.

Sasa kama mtaikosa offer kutoka kwa mtu makini kama mimi mtaipata wapi? Au mlishazoea kwenda kujazana Kitambaa cheupe kwa vibaka?

Shame on you!
 
Mkuu hawa watu wanafurahisha sana,tangu asubuhi nimewaambia wani-pm ili tuweze kupanga ratiba ya kila mmoja kwa ajili ya kuonana kesho,Huwezi amini wanakijomentisha hapa lakini hakuna hata mmoja aliyekja Pm,hapa ndipo ninapopata mashaka!.

Sielewi kwanini wanajishitukia!
Huyo anazo namba zangu mwambie akutumie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nilichokinoti ni kwamba Mademu wa humu wengi ni wabovu,mmechoka,mmechakaa,nyuso zimewafubaa na miili yenu imetofautina kama miarobaini,hamna mivuto!.

Haiwezekani nitoe offer halafu kila mmoja kaingia mitini!

Kila mmoja anabaki kujichekesha chekesha hapa kwa kutumia Emojis ili kujipa moyo!.

Sasa kama mtaikosa offer kutoka kwa mtu makini kama mimi mtaipata wapi? Au mlishazoea kwenda kujazana Kitambaa cheupe kwa vibaka?

Shame on you!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ khaaaaaaa!!
Mbona hataree hapo bado hujatuona shombo km zote!! Ukituona humu patatosha kweli??
 
Back
Top Bottom