Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi Heche kaacha siasa kawa mganga wa mvua?Kuna watu "wataalamu".
Mkutano wa Makonda Tarime umevurugika baada ya mvua kubwa kunyesha. Mvua hiyo imefanya wananchi kutoka mbio na kumuacha Makonda na timu yake jukwaani.
Shikamoo Heche
Bado yuko huko. Ila hampendi Makonda sijui walidhulumiana nini!chiembe umehama lini CCM, au ndo fukuto ndani ya chama kikongwe?
Uchawi mbaya huo kumuombea mwenzako kifo wakati na ww ni marehemu mtarajiwaKatika msafara wa makonda, Kwa speed magari yanavyokimbizwa mapema tutarajie yaliyompata Sokoine!!!
Akili nyepesi sana hyo mkuu JF imekusanya hata watu kma nyie atoe pesa yake kwa faida ya nani ssa kwa mfano?Hiyo bajeti ni ya ofisi kuu. Hii mikutano makonda anajigharamia na wale anaowaita wafadhili wake.
Ingekua ile ya Chongolo ungeona viti, Mahema na matrekta ya kusombea watu.
Shida ya watu wapumbavu na wenye unyafuzi wa akili hukimbilia ku comment kwa kujiona wanajua kumbe kima tu!Akili nyepesi sana hyo mkuu JF imekusanya hata watu kma nyie atoe pesa yake kwa faida ya nani ssa kwa mfano?
Probably inaweza kuwa ishu za ngono na wizi tu hamna lingine kwa hao wachawi.Bado yuko huko. Ila hampendi Makonda sijui walidhulumiana nini!
Vyeti vyako uliviwasilisha kwa nani?Makonda hadi a wasilishe vyeti vyake watu Hawana imani naye!
Ni mtumishi Mwenye vyeti hewa!
Bila pic ni unafiki.Kuna watu "wataalamu".
Mkutano wa Makonda Tarime umevurugika baada ya mvua kubwa kunyesha. Mvua hiyo imefanya wananchi kutoka mbio na kumuacha Makonda na timu yake jukwaani.
Shikamoo Heche