Shida ni kwamba ni ndani ya chadema kuna wengi sana wana uchu wa kuwa wabunge bila kujali lolote lile mfano ningependa kujua msimamo wa Sugu ,Lema !Msimamo sahihi katika wakati sahihi.
Sawa, but better late than never.Shida ni kwamba ni ndani ya chadema kuna wengi sana wana uchu wa kuwa wabunge bila kujali lolote lile mfano ningependa kujua msimamo wa Sugu ,Lema !
Chadema imechelewa sana kuweka msimamo huu! Huu msimamo ulitakiwa kuwekwa bayana mbele hata ya Samia na ni mambo na vipengele vilitakiwa kuwepo kwenye maridhiano!
Heche umekosea sana!View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche
John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Heche umekosea sana!
"Chadema haitoshiriki uchaguzi wowote hadi katiba mpya yenye maoni ya wananchi kwenye rasimu ya warioba ipatikane"!!
Kauli hiyo ndio pekee dola ingeelewa!!!
kwani Chadema ndio chama pekee cha siasa Tanzania?View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche
John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Sio rahisi kama unavyofikiria, nchi sio ya mtu mmoja au kikundi cha watu fulani wenye maamuzi tu yote kama wanavyojitahidi kuwaaminisha kuna sheria za ndani na za nje zinzozimulika za ndani kama tochi. Consequencies zake zina impact wengi na sio wachache.Hawana huo uwezo hata siku moja,
Wajaribu waone watavyofutika, ACT atapewa majimbo kibao na ndo itakuwa kifo cha CHADEMA
Mbogamboga mmeshapanik....na mafagio barabaraniUkiona hivyo hayuko Kwenye orodha ya Nusu Mkate
Vyama maslahi vipo, hivyo ni ruksa kubariki dhambi hiyo ndugu.kwani Chadema ndio chama pekee cha siasa Tanzania?
hi sasa ishakuwa kawaida yenu kila zikaribiapo chaguzi mmekuwa mnatafuta sababu ya kukimbia chaguzi ili kuficha anguko lenuView attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche
John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Mimi nime muelewa kwani tangu mwanzo huo ndio msimamo wangu hata kama asingesemaView attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche
John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Ndio vizuri kwani wanamkomoa nani labda?View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche
John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024