Pre GE2025 Heche: CHADEMA haitashiriki Uchaguzi wowote kama Mazingira ya Siasa yatabaki kama yalivyo sasa

Pre GE2025 Heche: CHADEMA haitashiriki Uchaguzi wowote kama Mazingira ya Siasa yatabaki kama yalivyo sasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche

John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Sioni kama kususia uchaguzi ni suluhisho, mtakuwa mmewapa ugali wale jamaa ki ulainiiiii!
 
View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche

John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Acheni, na nchi itasonga vizuri tu, miaka mitano bila ruzuku mtakimbiana
 
Hawana huo uwezo hata siku moja,
Wajaribu waone watavyofutika, ACT atapewa majimbo kibao na ndo itakuwa kifo cha CHADEMA
Kumbe Kuna kupeana majimbo,vp anaepewa ikatokea wenye Jimbo(wananchi)hawamkubali,je hapo itakuwaje ?je itakua Jimbo limepata mbunge au mbunge amepata jimbo.kumbuka ubunge ni nafasi yauongozi wa kuwakilisha watu kwenye vikao na shughuli za bunge.mwisho mwajiri wa mbunge ni mwananchi kwenye sanduku la kura.
 
Hawana huo uwezo hata siku moja,
Wajaribu waone watavyofutika, ACT atapewa majimbo kibao na ndo itakuwa kifo cha CHADEMA
Unadhani cdm Iko kwa ajili ya wabunge wa kupewa? Tunaikubali cdm bila hata kushiriki hizi chaguzi za kihayawani. Msiwape ACT peke yake, vipeni hata na vyama vingine ambayo ni matawi ya ccm. Lakini hakuna mwanacdm anayejitambua atashiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Na idadi ya watajitokeza kupiga kura ndio mtajua cdm ina nguvu kiasi gani.
 
Acheni, na nchi itasonga vizuri tu, miaka mitano bila ruzuku mtakimbiana
Hatuhitaji cdm iwepo kwa siasa za kujipendekeza. Ni Bora cdm ife maana cdm ni imani, kuliko kushiriki chaguzi za kipuuzi kisa ruzuku.
 
hi sasa ishakuwa kawaida yenu kila zikaribiapo chaguzi mmekuwa mnatafuta sababu ya kukimbia chaguzi ili kuficha anguko lenu
Sababu za cdm kutokushiriki chaguzi za kihayani zipo wazi, na zinaeleweka. Na kama mnatarajia cdm watashiriki ili kuonekana hawajakimbia, mtasubiri sana. Hakuna kushiriki uchaguzi ambayo tume ya uchaguzi inawajibika kwa mwenyekiti wa ccm. Dhalimu Magufuli ndio alikuja kuweka hitimisho la kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi chini ya tume na katiba ya kiccm.
 
Mimi nime muelewa kwani tangu mwanzo huo ndio msimamo wangu hata kama asingesema
Kabisa, na hata cdm kama chama wakisema wanashiriki hizo chaguzi za kihayawani kwa mazingira haya haya, sisi wapiga kura tunaojitambua hatutashiriki huo upuuzi. Cdm kama chama wajue ina wapiga kura wa kutosha, na kitendo Cha kususia chaguzi hizo za kipuuzi kutapelekea mabadiliko ya kweli ya chaguzi zetu.
 
Ndo inapotea milele.
Huwezi shinda bila kuwa na watu ndani.
 
View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche

John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maamuzi sahihi kwa wakati usio sahihi.

Chadema huu ndo wakati wenu hata wa kunusa bunge, hvy mkisusa wengine watapata nafasi zenu.

Erythrocyte mshauri vzr mumeo.
 
Hatuhitaji cdm iwepo kwa siasa za kujipendekeza. Ni Bora cdm ife maana cdm ni imani, kuliko kushiriki chaguzi za kipuuzi kisa ruzuku.
Subirini kuna mkorogo unaandaliwa, mtakimbiana
 
Sio rahisi kama unavyofikiria, nchi sio ya mtu mmoja au kikundi cha watu fulani wenye maamuzi tu yote kama wanavyojitahidi kuwaaminisha kuna sheria za ndani na za nje zinzozimulika za ndani kama tochi. Consequencies zake zina impact wengi na sio wachache.
Jaribuni muone,
Hakuna katiba mpya 2025, gomeni uchaguzi ndo mtajua hamjui, mtafutika shwaaaaa,
Na saizi hamna input ya vijana wengi ndo mtalia n kusaga meno,
Hakuna namna CDM wakaacha ubunge mwaka ujao
 
Sasa hivi wanataka mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili washiriki Uchaguzi

Sharti la Katiba mpya limefutwa
 
Kumbe Kuna kupeana majimbo,vp anaepewa ikatokea wenye Jimbo(wananchi)hawamkubali,je hapo itakuwaje ?je itakua Jimbo limepata mbunge au mbunge amepata jimbo.kumbuka ubunge ni nafasi yauongozi wa kuwakilisha watu kwenye vikao na shughuli za bunge.mwisho mwajiri wa mbunge ni mwananchi kwenye sanduku la kura.
Hayo ni maneno ya darasani, ila ukitaka kujua ubunge unapewa kumbuka 2020,
 
Back
Top Bottom