Pre GE2025 Heche: CHADEMA haitashiriki Uchaguzi wowote kama Mazingira ya Siasa yatabaki kama yalivyo sasa

Pre GE2025 Heche: CHADEMA haitashiriki Uchaguzi wowote kama Mazingira ya Siasa yatabaki kama yalivyo sasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wazo la Heche zuri sana, mimi nashauri msajili wa vyama awaaandikie haraka sana, kuwauliza rasmi kama wanasusia uchaguzi, wakijibu "ndiyo" wanasusia, basi simpo, chama kinachosusia uchaguzi kifutiwe usajili, ili wanachama wa chama hicho waende kwenye vyama vinavyoingia kwenye mchakato wa uchaguzi.

Pengine ukute zinazoongea hapo ni bia siyo chadema.
 
Wazo la Heche zuri sana, mimi nashauri msajili wa vyama awaaandikie haraka sana, kuwauliza rasmi kama wanasusia uchaguzi, wakijibu "ndiyo" wanasusia, basi simpo, chama kinachosusia uchaguzi kifutiwe usajili, ili wanachama wa chama hicho waende kwenye vyama vinavyoingia kwenye mchakato wa uchaguzi.

Pengine ukute zinazoongea hapo ni bia siyo chadema.
Hivi kushiriki ni lazima?nataka kujua
 
View attachment 2872365
''Msimamo wetu bado ni huo, kutokana na mazingira tuliyopitia mwaka 2019 na mwaka 2020 yalitudhihirishia wazi kwamba hatutashiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu (2024) kutokana na yale yaliyotokea yanatupa hofu kwenda kushiriki Uchaguzi tena, lakini kama kuna mambo yatabadilika na Miswada ikiwemo vipengele vya Katiba vinavyokwaza uchaguzi kuwa huru sisi tutakuwa tayari kushiriki uchaguzi" -Heche

John Heche ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amezungumza hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na EATV kupitia Kipindi cha Ahadi Timilifu leo, Jumatatu Januari 15.2024
Susa, susa, susa! Ukisusa wenzio wanakula! Utakaambia nini ka ACT,
 
Back
Top Bottom