FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wazo la Heche zuri sana, mimi nashauri msajili wa vyama awaaandikie haraka sana, kuwauliza rasmi kama wanasusia uchaguzi, wakijibu "ndiyo" wanasusia, basi simpo, chama kinachosusia uchaguzi kifutiwe usajili, ili wanachama wa chama hicho waende kwenye vyama vinavyoingia kwenye mchakato wa uchaguzi.
Pengine ukute zinazoongea hapo ni bia siyo chadema.
Pengine ukute zinazoongea hapo ni bia siyo chadema.