Heche: Chadema Mwenyekiti wake ni Mbowe, akanusha kuwepo kambi ya Lissu na Mwenyekiti

Ubarikiwe sana,cha ajabu ccm wanahangaika na uenyekiti wa Mbowe Chadema utafikiri Mbowe ni CCM.
 
Honestly huwa sielewi unaongeaga utoto gani. Inaonekana ww ni wale mliochelewa kujua kusoma na kuandika.
Hicho ni Kibeligiji
Mbowe ni Dikteta
Mungu yupo huko ulipo na huku Afrika
....sasa ni gugugaga gani usioielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…