City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
AnashangazaIla mbona hajawahi kulalamika hvy chadema wakiwepo bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnashangazaIla mbona hajawahi kulalamika hvy chadema wakiwepo bungeni?
Mwalimu gani anaelipwa 400k Tanzania hapa?"Sisi posho siku moja tu bungeni tulikuwa tunalipwa laki nne, halafu Mwalimu kwa mwezi unamlipa laki 4"
Soma, Pia: John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!
Take homeMwalimu gani anaelipwa 400k Tanzania hapa?
Chadomo wako out of touch kabisa.
Narudia kuuliza Mwl yupi anaelipwa 400k take home hapa Tanzania ya Samia? Au unadhani ni awamu ya Mwendazake hii? 🤣🤣Take home
Naona kunakucha"Sisi posho siku moja tu bungeni tulikuwa tunalipwa laki nne, halafu Mwalimu kwa mwezi unamlipa laki 4"
Soma, Pia: John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!
No Reforms No electionDah
Hii nchi kuna watu wanaifaidi sana. Nashangaa kwanini Watanzania tumeacha wachache tu ndio wafaidi.
Inaumiza sanaPension ya mwalimu aliyefanya kazi miaka 40 mbunge anaipata ndani ya miezi 2. Ni mfumo wa kijinga sn
BalaaaJiulize mtu analipwa 570,000 bunge la budget x siku 90 = 51,300,000 nje na mishahara mitatu 18M x 3 = 54,000,000 jumla 105,300,000 ndani ya miezi 3, hapo ni nje na rushwa + ziara za kamati. Hawa ni wanyonyaji wakubwa
Umemsikiliza interview yake yote boss? Maana naona kama hujamsikiliza.Unapoleta hoja ya watu kulipwa vizuri at least ulete na suluhisho la mapato yatakayowezesha wote walipwe vizuri.Sidhani kwamba inaamuliwa tu kwamba watu wote wasilipwe vizuri bali kuna kuwa hakuna uwezekano wa kufanya hivyo.
Kulinganisha kundi dogo sana la wabunge na kundi kubwa la waalimu ni misleading ingawa sikubaliani na wabunge kulipwa posho huku wana mishahara kwa standard ya Tanzania ni mikubwa.
Kunapokuwa na tatizo basi lete solution kwa kuelezea vyanzo vya mapato vitavyowezesha wote walipwe vizuri.
Hovyo sn tuamkeInaumiza sana
Mbaya zaidi yanashida yanagonga meza pekeeBalaaa
Aise! 400k/dm?🤔🤔 Harafu ni wakati ule! Leo sijui ni ngapi?
Hiki kijamaa kinaumia sana kunyimwa kisikanyage bung
we utakuwa unaumwaHiki kijamaa kinaumia sana kunyimwa kisikanyage bungeni
anashangaza nini majambaxi WA Hela za ummaAnashangaza
Lete no reform no electionNo Reforms No election
Jitahidi kutumia ubongo wako vizur.je kaongea ukweli au ni uongo??kunufaika kwake na fedha za mazombii hakuwezi kuondoa ukweli aliousema tumia akili kidogo ondoa adui ujinga.Mliambiwa hawa ni wanaharakasti hamuelewi..
Kwenye office , Head of Sales analipwa Mil 18, na dereva analipwa laki 3 , hapo kuna unyonyaji mmoja ampunguzie mwingine?
Nilifikiri kwa mtu mwenye hadhi yake angeongelea Muundo wa Bunge na namna gani wanaweza punguza vikao na safari zisizo na tija yeye analinganisha mishahara?
Duniani kote watu wanalipwa kutokana na Value na Impact anayoweza sababisha kwenye jamii..
Maisha yanaenda kasi sana! nakumbuka mwaka flani ktk chuo kikuu flani ndugu Heche na Ndugu Mnyeti ndio waliokuwa vinara wa kuongea pumba na mizaha mbele ya classmates, Mnyeti akiwa CR wa darasa, leo tunajivunia kuona Heche amekuwa msemaji wa wasio na sauti ktk nchi..HAKIKA MUNGU NI MKUU SANA!Ukisikia hazina za taifa ,, ndiyo watu kama hawa ,, mimi sina cha kuongezea zaidi ya kumuombea kwa mungu amzidishie rehema na baraka tele katika kizazi chake chote kwa kuwa muwazi,,, kwakuwa mtu asiyepindisha pindisha mambo