Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni

kula chakula uku mtu anaongea ni tabia mbaya....kula uku unaangalia wenzako machoni....au kutafuna uku Domo liko wazi Kama nguruwe iyo ni tabia mbaya
Mkuu, kwa hiyo kwa maoni yako mambo ambayo ni kinyume na TABLE MANNERS ndio haya pekee?...
 
Tatizo kubwa kwa jamii za kiafrika ni kutokuwa wawazi na unafiki uliopiitiliza
unaona aibu ni Jambo gani utakuwa huru kufanya mbele ya kadamnasi?
Mkuu, unaweza kutoa hewa chafu mbele ya idadi kubwa ya wageni? Bado nitazidi kusisitiza;

Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni.
 
Kaka mkubwa, what do TABLE MENNERS honestly mean to you?...


Sikia bwana mdogo; Katika sherehe moja ya mashamshamu ya sherehe ni msosi, na kulingana na kauli yako ni kwamba msosi huo ulipikwa kwa ajili ya ninyi mliohudhuria sasa kama chakula kilikuwepo na kuna watu ambao walikuwa hawajashiba na taarifa ikatolewa kwamba yule aliyekuwa bado hajashiba na akaongeze chakula shida hapo iko wapi?? au ulitaka chakula kitupwe??--- labda kama hao jamaa walienda kujipakulia bila kuambiwa hapo ndipo ingekuwa ni tatizo (bad manners).
 
Siku zote anza kwa kuchukua chakula kiasi ili wote mpate, kisha ongeza chakula kwani wapo ambazo kila kiasi cha mwanzo kimewatosha, hii ndiyo table manner sahihi.
 
Aisee umemuelezea vizuri sana huyo bwana mdogo. Unajua tatizo hawa wamezoea kwenda kwenye kipaimara, vijiharusi uchwara na maulid za kiswahili so hawajui chochote kuhusu table manners.
 
Mkiambiwa pombe ziko nyingi mkaongeze huwa hamogopi kuoneka walevi mbwaa! Ila sisi tunapoenda kuongeza misosi mnatuita walafi na warohoo.
 
Mkuu, unaweza kutoa hewa chafu mbele ya idadi kubwa ya wageni? Bado nitazidi kusisitiza;

Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni.
Mfano wako wa kutoa hewa chafu ni irrelevant, hayo ni Mambo ya faragha na bado pia tunafeli sana upande huo, juzi tu hapa nimempa lift jamaa flan tumetembea karibu km80 mkojo umembana lakini alishindwa kuniambia nisimamishe chombo ajisaidie, you can imagine Kama kukojoa tu ambapo Kila mtu anafanya hivo mtu anaona aibu kusema utafikiri ni dhambi Fulani

Table manners ni ndihamu tu ya ukiwa mezani haiusiani kabisa na Uhuru wa mtu
 
Asante sana watu Wana overate Mambo Hadi kero , imagine mtu yupo radhi alale na njaa ililmradi asionekane kaongeza chakula !!
Na hii ndio sababu tunatengeneza vizazi vya ovyo sana , watu wanapenda kufanya Mambo mengi gizani ili wasikosolewe au kusemwa vibaya ..
Hapo kwenye sherehe Kila mtu alionekana kashiba kumbe Kuna uwezekajo wengine walilala na njaa
 
mhhh, ila wee jamaa mawazo yako hata siyapendagi
 
Kama wanavyosema bahati haiji mara mbili
Nikipata hii hiyo fursa
Mimi nitafata maelekezo ya huyu mchungaji wangu Ameen

 
Kuongeza msosi mm huwa naongeza sn tu tatizo moja ukifila kwenye kuku huwa wapakuaji wanalaza hvo wanataka uongeze vitu lkn kuku wanabana
Sijawahi faidi nyama za sherehe, kwanza ni kubwa, likuku likuuubwa kulishika kero, afu nakuwaga nimeshiba nakula kiduchu, kurudi home tumbo empty. Mi naona walevi ndo wanafaidi sherehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…