Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni

Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni

Nitazidi kusisitiza Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni
Tatizo mnasoma kwenye vitabu na kukariri bila kufanya uchambuzi. Unapopakua Chakula kwenye Buffet sio lazima upakue kila kilichopo kwa wakati mmoja, na sio lazima ujaze sahani hivyo unaweza pita mara ya kwanza ukapakua kidogo chakula cha aina moja na baada ya kumaliza ukarudi tena na kupakua chakula kingine tena kiasi kidogo. Hiyo haina shida hata kwenye hafla na dhifa kubwa inafanyika na wengi walio wastaarabu.
 
Ni wapi nimeongelea masuala ya buffet?...
Buffet nimetoa kama mfamo tu..lkn kwa kifupi kiwango cha uelewa wako katika mambo mbalimbali bado ni kidogo sana...you believe in whatever you read...you do not analyze things. Probably a victim of colonized mind.
 
lkn kwa kifupi kiwango cha uelewa wako katika mambo mbalimbali bado ni kidogo sana
Asante sana kwa kunikosoa. Ninapenda sana watu wanaonikosoa ili mradi hawanitukani personally...
 
Asante sana kwa kunikosoa. Ninapenda sana watu wanaonikosoa ili mradi hawanitukani personally...
Maendeleo huletwa kwa njia ya kukosoana. Siwezi kukuattack personally sababu nikifanya hivyo nitakuwa sijakusaidia katika kukubadilisha mindset yako pamoja na kuinua kiwango chako cha uelewa.
 
Siwezi kukuattack personally sababu nikifanya hivyo nitakuwa sijakusaidia katika kukubadilisha mindset yako pamoja na kuinua kiwango chako cha uelewa.
Sawa. Lakini wewe pia uache tabia ya kupenda kwenda kuongeza ongeza chakula katika sherehe wakati wageni wengine wametulia katika viti vyao kwa maana inaonekana unayo hiyo tabia ndio maana unaandika kwa jazba sana.

Nitazidi kusisitiza Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni
 
Nidhamu ya chakula au namna ya kula sio mbele ya wageni tu, hata ukiwa peke yako hotelini au nyumbani.
 
Sawa. Lakini wewe pia uache tabia ya kupenda kwenda kuongeza ongeza chakula katika sherehe wakati wageni wengine wametulia katika viti vyao kwa maana inaonekana unayo hiyo tabia ndio maana unaandika kwa jazba sana.

Nitazidi kusisitiza Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni
Sijaandika kwa jazba walaa, nilikuwa najaribu kukuelewesha tu. Tatizo lako unaamini sana kwenye kila kitu unachokisoma kitabuni bila kuzingatia muktadha wa ulichokisoma.
 
Sawa. Lakini wewe pia uache tabia ya kupenda kwenda kuongeza ongeza chakula katika sherehe wakati wageni wengine wametulia katika viti vyao kwa maana inaonekana unayo hiyo tabia ndio maana unaandika kwa jazba sana.

Nitazidi kusisitiza Hekima, busara na nidhamu ya chakula (Table Manners) mbele ya kadamnasi ya wageni
Kama round ya kwanza nilipakua tonge mbili za ubwabwa na mchuzi wa njegere alafu round ya pili nikaenda tena kupakua kipapatio kimoja cha kuku(wing) na kumaliza kula je na hapo pia nitakuwa nimekosea? Ndio maana tangu awali niliandika kuwa kupakua chakula mara mbili sio tatizo bali tatizo ni umepakuaje kulingana na ulivyopakua mara ya kwanza. Tatizo lako nadhani huna uzoefu wa hukudhuria shughuli za misosi za kisasa.
 
Kama round ya kwanza nilipakua tonge mbili za ubwabwa na mchuzi wa njegere alafu round ya pili nikaenda tena kupakua
Ona sasa unavyotia aibu. Round ya pili unaenda kupakua nini?Ndio maana ninasema wewe hauna tabble manners kijana.
 
Uzi safi sana huu Infantry Soldier. Tena umeuleta muda muafaka kabisa. Kuna watu wanapenda kula kula bila staha mbele za wageni. Hawapo civilized.
 
Mkuu, ninaongelea ukumbini ambapo kuna watu usiowajua si chini ya 200, ni lazima mtu ajifunze nidhamu ya kula mbele ya kadamnasi, tena wengi ni strangers.

Nyumbani kama watu ni wengi sana basi mpo 10 mpaka 15, tena wote mmezoeana.

Mkuu, wewe haujawahi kuona mtoto anashabikia pilau msibani kisha aibu yote inaenda kwa wazazi wake na kuonekana kwamba kuwa huyu mtoto huwa ali akashiba huko kwao.

Sasa watoto (watu) kama hawa ndio wanapaswa kufundishwa discipline ya kula mbele za watu.
Una uhakika gani kwamba hao watu watatu hawakuwa wamechelewa kula, yaani walifika ukumbini baada ya watu kuwa wameshaanza kula na kukuta foleni ya chakula ikiwa imekatika, wakajua kuwa chakula tayari kimeshaisha, ila Mc alipochukua jukumu la kuwatangazia watu kwamba chakula bado kipo, ndiyo wakajua kuwa chakula kumbe bado kipo na hivyo nao wakaamua sasa kwenda kuchukua kwa mara ya kwanza ili waweze kula, vinginevyo wasingekula kwa sababu hapo awali hawakuwa wamekula?

Kuna shemeji yangu mmoja, alishatangulia mbele ya haki, aliwahi kuniusia maneno fulani kipindi kirefu nyuma. Aliniambia kuwa: Shemeji, maisha haya tunayoishi ni magumu sana, na inabidi ujinyime sana kwenye kipata chako ili uweze kupata savings zitakazokuwezesha kufanya mambo mengine ya msingi katika maisha LAKINI, usijinyime kiasi cha kushindwa kula ukashiba. Hakikisha unakula na kushiba kwanza halafu ndiyo maswala ya kujinyima yaanzie pale, baada ya kuwa umekula na kushiba.

Huyu mtu alikuwa hamaanishi nile mimi na kushiba, bali watu walio pamoja na mimi wakati wowote ule. Mimi nina principal moja katika maisha, linapokuja swala la kula, bajeti yake huwa inategemea kiwango cha ulaji cha wale ninaotakiwa kuwalisha, na si kutokana na idadi za kilo za mchele au unga ambazo huwa nimeweka kama budget yangu ya matazamio (tentative budget) kwenye mwezi au wiki husika, maana kwa upande mwingine ni lazima mtu uwe na budget, huwezi ukawa unapuyanga tu. Kwa hiyo huwa nanunua chakula wakati mwingine kulingana na rate ya ulaji wao, na namna namba yao inavyobadilika, na si vinginevyo.

Unajua ndugu yangu Mungu ametutunuku mwanadamu akili ambayo ni kubwa muno kiasi kwamba hatutakiwi kabisa kuitumia kuwaza mambo madogo madogo kama haya, isipokuwa inatokea wakati mwingine inabidi tuyawaze kwa sababu si muda wote tunatumia akili zeu kama ambavyo Mungu anataka tuzitumie. Mungu alipomuumba mwanadamu, mojawapo ya majukumu aliyompa, kubwa kabisa ilikuwa ni kuitawala dunia , swala la kula lilikuja tu by the way. Mungu angeweza hata kumuumba mwanadamu bila hitaji la kula kwa sababu halikuwa kusudi lake kumuumba ili awe anakula pia. Kula kulikuja tu by the way!
Kwa swala la watoto wadogo, hilo sasa ni jambo jingine tena kwa sababu hao bado ni wanafunzi wa kila jambo!
 
Kula Ni kipaji, nilikuwa na msichana anaitwa Queen. Alikuwa anakula zaidi ya kg tano za kitimoto peke yake na bia 16 castle larger.
Usimkaribishe harusini kwako
Aaaahh babu hii kamba hii...kilo 5..!!!🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom