Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini.

Kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa.

Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Mifumo yote itaunganishwa kwenye mfumo mmoja, mpaka tra, mwekezaji baada ya kuwekeza fungu lake, hatoweza kukubali abadan mfumo uchezewe, au upuuzi utakaosababisha mapato yashuke na gawio liwe dogo, Note this!
 
Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Je unaamini kulikuwapo na wezi ambao hata huyo JPM hakufua dafu.

Ref: Aliyekuwa amejiunganishia mafuta Kigamboni DC wa wakati huo akipiga kelele wee mpaka kurushwa kwenye runinga, aliishia kutemeshwa yeye kibarua.
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini....
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake.

Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia.

Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!

Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu!

Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.

Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!

Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia.

Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
 
Screenshot_20230618-130209_Call.jpg
kama wez wanajulikana kwanini hawachukuliwi hatua
 
Ni ujinga na wendawazimu mtu kama raisi kutamka maneno hayo. Kama anafahamu kuna wizi na anawafahamu ilitakiwa mara moja hao watu wasimamishe kazi, wachunguzwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa rais anaendesha nchi kwa mipasho huyo ni rais au muimba taarabu?

Acheni kusifia ujinga usiovumilika. Huyu rais tokea anaingia aliwaambia wale ila wasivimbiwe halafu unakuja kuandika kabisa uzi kumsifia?

I doubt your sanity niqqa!
 
Ni ujinga na wendawazimu mtu kama raisi kutamka maneno hayo. Kama anafahamu kuna wizi na anawafahamu ilitakiwa mara moja hao watu wasimamishe kazi, wachunguzwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa rais anaendesha nchi kwa mipasho huyo ni rais au muimba taarabu?

Acheni kusifia ujinga usiovumilika. Huyu rais tokea anaingia aliwaambia wale ila wasivimbiwe halafu unakuja kuandika kabisa uzi kumsifia?

I doubt your sanity niqqa!
Hata kwenye Ripoti ya CAG aliishia kusema Shame on you..... What next Presida ? No maajabu. kwa viongozi vilema na wapofu ni rotation tu
 
kumbe tatizo sio bandari kumbe ni uislamu . ok tushajua sasa.
Haya ni maoni na mtazamo wangu binafsi tu. Na siyo lazima yaheshimiwe.
Narudia tena, hakuna jambo la siri ambalo Roho wa Mungu hawezi kutufunulia watoto wake. Ni mpangomkakati wa kidini. Wenye macho ya rohoni tulikwishaoneshwa tayari na Bwana Yesu Kristo.
 
Hizo bandari kwa nini ameshindwa kuzifutia usajili kama alivyoahidi kwenye mashirika yasiyo na tija
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Huo ni ujinga mtupu
Haya ni maoni na mtazamo wangu binafsi tu. Na siyo lazima yaheshimiwe.
Narudia tena, hakuna jambo la siri ambalo Roho wa Mungu hawezi kutufunulia watoto wake. Ni mpangomkakati wa kidini. Wenye macho ya rohoni tulikwishaoneshwa tayari na Bwana Yesu Kristo.
Huo ni ujinga mtupu, inamaana kuna kiongozi mwandamizi mzito zaid ya rais?
Maana yake sasa kama ameshindwa ku deal na hao wapigaji bas tafsir yake hana sifa ya kutuongoza
Haiwezekani kiongozi unajua kabisa flani na flani ni wezi halafu ukashindwa kuwawajibisha mbona wengine mnawawajibisha?

Huo sio uongozi bora bali ni bora uongoz

Hivi kweli inaingia akilini rais ukamuogope mtu ambaye hana madaraka yeyote?
Hata ww uliyeweka bandiko hili umemdhalilisha rais maana tulikuwa hatujui kama rais anawaogopa baadhi ya watu wewe ndio umetufichulia siri hatutaki rais muoga sisi
 
Yaani uwe na wanao wadokozi, kwa kuwa umechoshwa na udokozi wa wanao na umekosa mbinu za kukomesha udokozi wa wanao unaona suluhisho ni kuingiza ndani mwako kama mpangaji na akudhibitie udokozi wa wanao, akili ya wapi hiyo?
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
comment yako ya kipuuzi.
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Wewe ni mdini mtu hatari kabisa, tunataka ufanisi dini is useless here!
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Bilashaka wewe ni miongoni mwa vibaraka wa vigogo waliofungiwa upigaji wao wa miaka hapo bandarini
 
Bilashaka wewe ni miongoni mwa vibaraka wa vigogo waliofungiwa upigaji wao wa miaka hapo bandarini
Hili lango kuu la uchumi lina madudu mengi mno wataalamu wa estimation wanakisia about 1/2 of its total revenue lost away! (wajanja wanajishibisha kibaya hawashibi)
 
Ni ujinga na wendawazimu mtu kama raisi kutamka maneno hayo. Kama anafahamu kuna wizi na anawafahamu ilitakiwa mara moja hao watu wasimamishe kazi, wachunguzwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa rais anaendesha nchi kwa mipasho huyo ni rais au muimba taarabu?

Acheni kusifia ujinga usiovumilika. Huyu rais tokea anaingia aliwaambia wale ila wasivimbiwe halafu unakuja kuandika kabisa uzi kumsifia?

I doubt your sanity niqqa!
Hamna Rais hapo
Rais gan hatambui maamlaka yake ni dhaifu sana anategemea mipasho😠😠
 
Back
Top Bottom