Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Hiyo ni weakness. Kama kashindwa kuwashughulikia anao waweza ataweza asio waweza?? [emoji848]

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Tutawashoot mbbbwa nyie, uho uhaini wenu utawatokea puani
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Wagalatia mmerogwa ? Mnataka kuvuruga amani
 
Je unaamini kulikuwapo na wezi ambao hata huyo JPM hakufua dafu.
Ref:-aliyekuwa amejiunganishia mafuta kigamboni Dc wa wakati huo akipiga kelele wee mpaka kurushwa kwenye runinga, aliishia kutemeshwa yeye kibarua.
Unaamini ilikuwa wakati wa JPM?
 
Mambo ya rohoni ufahamika na watu walio rohoni tu. Kwa watu walio mwilini mambo ya rohoni kwao ni udini tu.
Hatuishi rohoni... Mambo ya bandari ni ya mwilini... Tushughulike na tatizo halisi . Tusilete hisia za kidini humu. Wewe umeona rohoni shughulika nalo kama ulivyoona. Sisi tunadai hatima ya bandari zetu.
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
HIzo propaganda za dini mngeziacha kabisa lasivyo labda kama mnatamani machafuko
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Kama unayoandika ni kweli basi yeye ndiye tatizo na anatakiwa aondoke. Kwa nini anaachia hao wezi? Huyo rais anashindwa kuongoza eneo dogo kama bandari liwe na ufanisi ataweza kuongoza nchi nzima? Aachie wengine.
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.

Mbona hatikusikia kampuni ngapi zilishindanishwa tenda hiyo nia yake ni njema ila sio waarabu
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Mwamba huyu hapa
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokkea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.

Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia. W
Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!
Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu! Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.; Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!
Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia. Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa
ungana nao kesho wanaingia barabarani kusndamana
 
Yeye kama Rais ameshindwaje kuwashughulikia hao wezi na kufanya close control ya hiyo bandari ili ilete matokeo chanya kwa Taifa.

Kama ni kweli ameongea hayo basi atatudhihirishia huo udhaifu upo hata kwenye maeneo mengi Kama Tanesco nk.
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake. Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia.
ndivyo munavyoaminishwa huko kwenye taasisi zenu za dini?

Duh ujinga ulioje!
 
Kwa lugha nyingine anatuambia kuwa kuendesha nchi kumemshinda hivyo angalau waarabu wamsaidie. Kumbe hadi wezi unawajua ila umewakalia kimya!! Unawaogopa au?
 
Kwa lugha nyingine anatuambia kuwa kuendesha nchi kumemshinda hivyo angalau waarabu wamsaidie. Kumbe hadi wezi unawajua ila umewakalia kimya!! Unawaogopa au?
Liambieni likodishe na wizara. Maana zimejaa wizi. Na Urais pia akodishe, maana ni lidhaifu kupita kiasi!
 
Back
Top Bottom