Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Heko Rais Samia umetupa jiwe gizani wakapambane nalo!

Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini, kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa, Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Hao wezi wameishawahi kutajwa na report ya CAG?kama ndio kwanini Samia hajawafunga?au ni wezi wa kufikirika?
Tatizo hapa,hatq Samia na mwenyewe ni mwizi TU,wanaiba wote,Sasa hawezi kuwagusa,
 
Hao wezi wameishawahi kutajwa na report ya CAG?kama ndio kwanini Samia hajawafunga?au ni wezi wa kufikirika?
Tatizo hapa,hatq Samia na mwenyewe ni mwizi TU,wanaiba wote,Sasa hawezi kuwagusa,
Nyerere alishindwaje? Alijenga kila kitu kwa jasho na damu vilikufaje? Maana alipaswa kuwa mwenye hasira kali zaidi, UNAPOKUWA POSITIVE, NA MAZINGIRA YOTE YAKAWA NEGATIVE, WORK DONE HUWA ZERO HATA UWE NA JUHUDI GANI.
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini.

Kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa.

Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Ulipata ngapi form four au ni wale wale wenzetu hamna kitu kichwani. English olumoteee
 
Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Mahakama na jeshi la polisi kumeoza kwa rushwa, je pia tuwakabidhi wageni waeendeshe ?!
headless.jpg
 
Hapo hamna heko, alipaswa kuwashughulikia hao wezi kama Sheria zimavyisema

Wizarani Kuna wizi pia, napo atawapa watu binafsi waziendeshe?
Ikibidi Kama wezi na Mafisadi hawataki kubadilika ni wapigwe mnada tu kwa wageni!! Mama Samia OYEEEE!! Magufuli alikua anawatumbua mkamuona Dikteta!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Je unaamini kulikuwapo na wezi ambao hata huyo JPM hakufua dafu.

Ref: Aliyekuwa amejiunganishia mafuta Kigamboni DC wa wakati huo akipiga kelele wee mpaka kurushwa kwenye runinga, aliishia kutemeshwa yeye kibarua.
Mwambie huyo, hajui kua Nchi hii ina Mafisadi yenye nguvu kuliko hata huo muhimili wa Rais!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mama analo jambo na wazanzibar, waarabu, na, waislamu wenzake.

Hakuna siri wala jipya chini ya jua. Ni mpangomkakati wa kufanya uislamu utawale nchi hii na dunia kwa jumla. Nashangaa "mikristo" ipo kimya na inashangilia.

Mapadre, wachungaji, hamlioni hili?! Hamna macho ya rohoni?! Mko bize kudai zaka!

Mtu akiishashika uchumi wako lazima atakutawala tu!

Utalazimika kufuata na imani yake ili uweze kupata mkate wako wa kila siku. Utabadilisha majina yako na kuitwa salum, abdalla, mohamed, n.k.

Si ndivyo wazungu walitufanya?! Wewe mtu achukuwe na kuhodhi bandari zako zoote, huyo si anakuwa amemiliki hata Uvuvi wako, usafiri wako wa majini, n.k.? Mtaona tu!

Wakristo wa kweli tuungane ktk maombi. Shetani hajawahi mshinda Bwana Yesu Kristo, Mungu aliye hai; hajawahi kamwe nakwambia.

Na haitokuja kutokea. Hawa washirika wa majini mapepo watashangaa.
Umechelewa Mkataba ulisha signiwa kitambo sana!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huo ni ujinga mtupu

Huo ni ujinga mtupu, inamaana kuna kiongozi mwandamizi mzito zaid ya rais?
Maana yake sasa kama ameshindwa ku deal na hao wapigaji bas tafsir yake hana sifa ya kutuongoza
Haiwezekani kiongozi unajua kabisa flani na flani ni wezi halafu ukashindwa kuwawajibisha mbona wengine mnawawajibisha?

Huo sio uongozi bora bali ni bora uongoz

Hivi kweli inaingia akilini rais ukamuogope mtu ambaye hana madaraka yeyote?
Hata ww uliyeweka bandiko hili umemdhalilisha rais maana tulikuwa hatujui kama rais anawaogopa baadhi ya watu wewe ndio umetufichulia siri hatutaki rais muoga sisi
Wwe achaa kujifanya Kama hujui Tanzania, kuna vijitu vya kawaida vyenye vicenti vyao vikifanya uhalifu tu unaona jinsi police na Mahakama zinakua na kigugumizi kuwachukulia Sheria ili wawajibike, itakua hap Mafisadi wa huko Juu Nani anaweza kuwagusa!!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hamna Rais hapo
Rais gan hatambui maamlaka yake ni dhaifu sana anategemea mipasho[emoji34][emoji34]
Akijifanya kutambua mamlaka yake ya urais Kama JPM, hadumu kwenye hicho kiti Vita ya uchumi ni ngumu sana, ndiyo maana Mama kaamua kukodisha Waarabu wamsaidie kwenye hii Vita!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Rais hyu Wenda Ana Visio nzur ila Sasa njis anayotumia yeye siyo

Kwanza Ana mipasho na kuchamba viongozi wenzake wanao mchallenge rifaa ishu ya ndugai jins alivyochambwa
 
Wengi hawajui ubinafsishaji bandari ni maandalizi ya uchaguzi. CCM uwadiapo uchaguzi kashfa za kukwapua pesa ya umma lazima utokee.
CYO Kweli ccm Ina vyanzo vingi vya mapato Kia's kwamba Ni siku tatu tu wanawwza pata trillion 4
 
wakristo ndio wanaonufaika na bandari kwa mizigo yao kupita bure kwa kisingizio cha kanisa na mizigo hiyo unaikuta inauzwa kariakoo hata jpm aliwahi kulitamka neno hilo familia nyingi za kilatiwa manufaa yao ni bandarini wanaona akipewa mwarabu hakuna cha bure pale ndio anguko lao wajanja wakujidai na pesa wataisha mjini
 
wakristo ndio wanaonufaika na bandari kwa mizigo yao kupita bure kwa kisingizio cha kanisa na mizigo hiyo unaikuta inauzwa kariakoo hata jpm aliwahi kulitamka neno hilo familia nyingi za kilatiwa manufaa yao ni bandarini wanaona akipewa mwarabu hakuna cha bure pale ndio anguko lao wajanja wakujidai na pesa wataisha mjini
You explain it well
 
Wizi mkubwa unaofanyika bandarini kwa asilimia 75-80 hufanywa na baadhi ya viongozi waandamizi tena wenye heshima kubwa serikalini.

Kufunga mkataba huu kutaboresha na kufunga baadhi ya njia za wizi kabisa.

Asante mama umenena na wezi kisayansi maana wengine ni watu wazito kabisa.
Kwani serikali ni wajinga au hawana uwezo wa kudeal na wala rushwa? failure and corrupt government
 
Kwani serikali ni wajinga au hawana uwezo wa kudeal na wala rushwa? failure and corrupt government
Toka wakati wa mwalimu corruption ilipigwa vita lakini ugaulu wake ulikuwa mdogo, hata kusababisha yale mema yote aliyoyaanzisha kwa jasho la mkulima na mfanyakazi kujifia kimya kimya, corruption is a cancer to our community!
Kabla ya kulaumu tuwe tunaangalia rekodi ya jambo husika nyakati kwa nyakati, tusilaumu tu awamu moja ni makosa makubwa sana.
HEKO MAMA SAMIAH.
 
Back
Top Bottom